Vyote vinga’aavyo si dhahabu

Vyote vinga’aavyo si dhahabu

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,638
Reaction score
220,409
Sarah alitoka kwenye familia nzuri sana, baada ya kumaliza mafunzo ya ualimu alianza kazi kwenye wilaya moja. Alikuwa na mawasiliano na boyfriend wake wa tangu shuleni. Huyu alikuwa mgeni wake ambae alimtembelea mara kwa mara wakati huo akiwa chuo kikuu. Sarah alijua huyu ndiye mume wake kwani ndiye alikuwa boyfriend wake wa kwanza.

Mambo yalibadilika Sarah alipopata ujauzito. Boyfriend alishauri mimba itolewe. Sarah alikomaa na mimba yake licha ya jamaa kukata mawasiliano. Wakati wa kujifungua familia yake ilimpa msaada mkubwa. Alipata mtoto wa kike alimuita Michelle.

Sarah aliendelea na kazi na malezi ya Michelle, walipanga chumba na sebule na Sarah alijiongeza kwa kupika vitafunwa pembeni na ajira. Hawakuwa na maisha mabaya na Sarah alikuwa mwendaji kanisani kila Jumapili na mtoto wake alipata mafundisho yote ya dini.

Kule kazini kulikuwa na Mwalimu Betty ambae binamu yake alikuwa anatafuta mke. Binamu wa Betty alikuwa mfanya biashara mkubwa sana. Licha ya biashara alikuwa anagombea ubunge. Sarah alionekana kuwa chaguo bora la binamu ambae nitamuita mr P for politician.

Baada ya harusi kubwa Sarah na Michelle walihamia kwenye mji mkubwa waliishi kwenye nyumba ya ghorofa pamoja na mr P. Michelle alipata chumba chake, alipewa dereva wa kumpeleka shule na shule alisoma English Medium.

Michelle alipofikisha miaka 12 wakati huo mr P biashara zimeshamiri na sasa ni mheshimiwa alianza kum molestar Michelle akimtisha kuwa akimwambia mama yake watarudi kwenye chumba chao kule walikotoka.

Michelle alitunza siri mpaka alipopata uja uzito akiwa na miaka 15. Wakati huo Sarah na mr P walikuwa na binti wa miaka mitatu. Mr P alimkataza Michelle kusema Baba wa mtoto akimuahidi kumpeleka Ulaya kusoma baadavya kujifungua. Ni kweli baada ya kujifungua Michelle kwanza alihamishiwa shule ya bweni kumaliza shule na alipelekwa Ulaya kwa masomo ya juu.

Michelle alipata mtoto wa kiume. Mr P alimwambia Sarah akubali jukumu la kumlea mjukuu, mr P alikuwa na furaha moyoni ya kupata mtoto wa kiume. Alimhudumia kwa kila kitu.

Machoni mwa Sarah mr P alikuwa ni malaika, mwanaume gani akukute na mtoto amsomeshe na hata kumlea mtoto wake bila malalamiko.

Ninakumbusha tu vyote vinga’aavyo si dhahabu.
 
Dah... Mr. P ni bonge la kauzu

Likaamua lile kuku na mayai yake....


Ila mianasiasa mingi mishirikina mishirikina,

Inategemea kaambiwa afanye nini...
 
Aisee.. ! Let me involve my logical sense in this.

Hard to believe.
 
Aisee.. ! Let me involve my logical sense in this.

Hard to believe.
Yawezekana Ni stori Ila itakuwa imeakisi ukweli.
Kuna mtu namfahamu alizaa na mwanamke aliyemkuta na mtoto mmoja.
Siku zilivyoenda huyo mama kaolewa na bwana mwingine hao watoto kawapeleka kwa huyu ninayemfahamu.
Baada ya miaka kadhaa mkubwa kazalishwa na baba wa mdogo wake.
Sasa hapo jiulize, wataitanaje?
 
Sarah alitoka kwenye familia nzuri sana, baada ya kumaliza mafunzo ya ualimu alianza kazi kwenye wilaya moja. Alikuwa na mawasiliano na boyfriend wake wa tangu shuleni. Huyu alikuwa mgeni wake ambae alimtembelea mara kwa mara wakati huo akiwa chuo kikuu. Sarah alijua huyu ndiye mume wake kwani ndiye alikuwa boyfriend wake wa kwanza.

Mambo yalibadilika Sarah alipopata ujauzito. Boyfriend alishauri mimba itolewe. Sarah alikomaa na mimba yake licha ya jamaa kukata mawasiliano. Wakati wa kujifungua familia yake ilimpa msaada mkubwa. Alipata mtoto wa kike alimuita Michelle.

Sarah aliendelea na kazi na malezi ya Michelle, walipanga chumba na sebule na Sarah alijiongeza kwa kupika vitafunwa pembeni na ajira. Hawakuwa na maisha mabaya na Sarah alikuwa mwendaji kanisani kila Jumapili na mtoto wake alipata mafundisho yote ya dini.

Kule kazini kulikuwa na Mwalimu Betty ambae binamu yake alikuwa anatafuta mke. Binamu wa Betty alikuwa mfanya biashara mkubwa sana. Licha ya biashara alikuwa anagombea ubunge. Sarah alionekana kuwa chaguo bora la binamu ambae nitamuita mr P for politician.

Baada ya harusi kubwa Sarah na Michelle walihamia kwenye mji mkubwa waliishi kwenye nyumba ya ghorofa pamoja na mr P. Michelle alipata chumba chake, alipewa dereva wa kumpeleka shule na shule alisoma English Medium.

Michelle alipofikisha miaka 12 wakati huo mr P biashara zimeshamiri na sasa ni mheshimiwa alianza kum molestar Michelle akimtisha kuwa akimwambia mama yake watarudi kwenye chumba chao kule walikotoka.

Michelle alitunza siri mpaka alipopata uja uzito akiwa na miaka 15. Wakati huo Sara na mr P walikuwa na binti wa miaka mitatu. Mr P alimkataza Michelle kusema Baba wa mtoto akimuahidi kumpeleka Ulaya kusoma baadavya kujifungua. Ni kweli baada ya kujifungua Michelle kwanza alihamishiwa shule ya bweni kumaliza shule na alipelekwa Ulaya kwa masomo ya juu.

Michelle alipata mtoto wa kiume. Mr P alimwambia Sarah akubali jukumu la kumlea mjukuu, mr P alikuwa na furaha moyoni ya kupata mtoto wa kiume. Alimhudumia kwa kila kitu.

Machoni mwa Sarah mr P alikuwa ni malaika, mwanaume gani akukute na mtoto amsomeshe na hata kumlea mtoto wake bila malalamiko.

Ninakumbusha tu vyote vinga’aavyo si dhahabu.
unajifunza kutunga hadith? sio mbaya mwanzo mzuri zidisha mazoez
 
Logic behind?
Wanaume wabaya na wanawake wanaonewa! et?
 
Sarah alitoka kwenye familia nzuri sana, baada ya kumaliza mafunzo ya ualimu alianza kazi kwenye wilaya moja. Alikuwa na mawasiliano na boyfriend wake wa tangu shuleni. Huyu alikuwa mgeni wake ambae alimtembelea mara kwa mara wakati huo akiwa chuo kikuu. Sarah alijua huyu ndiye mume wake kwani ndiye alikuwa boyfriend wake wa kwanza.

Mambo yalibadilika Sarah alipopata ujauzito. Boyfriend alishauri mimba itolewe. Sarah alikomaa na mimba yake licha ya jamaa kukata mawasiliano. Wakati wa kujifungua familia yake ilimpa msaada mkubwa. Alipata mtoto wa kike alimuita Michelle.

Sarah aliendelea na kazi na malezi ya Michelle, walipanga chumba na sebule na Sarah alijiongeza kwa kupika vitafunwa pembeni na ajira. Hawakuwa na maisha mabaya na Sarah alikuwa mwendaji kanisani kila Jumapili na mtoto wake alipata mafundisho yote ya dini.

Kule kazini kulikuwa na Mwalimu Betty ambae binamu yake alikuwa anatafuta mke. Binamu wa Betty alikuwa mfanya biashara mkubwa sana. Licha ya biashara alikuwa anagombea ubunge. Sarah alionekana kuwa chaguo bora la binamu ambae nitamuita mr P for politician.

Baada ya harusi kubwa Sarah na Michelle walihamia kwenye mji mkubwa waliishi kwenye nyumba ya ghorofa pamoja na mr P. Michelle alipata chumba chake, alipewa dereva wa kumpeleka shule na shule alisoma English Medium.

Michelle alipofikisha miaka 12 wakati huo mr P biashara zimeshamiri na sasa ni mheshimiwa alianza kum molestar Michelle akimtisha kuwa akimwambia mama yake watarudi kwenye chumba chao kule walikotoka.

Michelle alitunza siri mpaka alipopata uja uzito akiwa na miaka 15. Wakati huo Sara na mr P walikuwa na binti wa miaka mitatu. Mr P alimkataza Michelle kusema Baba wa mtoto akimuahidi kumpeleka Ulaya kusoma baadavya kujifungua. Ni kweli baada ya kujifungua Michelle kwanza alihamishiwa shule ya bweni kumaliza shule na alipelekwa Ulaya kwa masomo ya juu.

Michelle alipata mtoto wa kiume. Mr P alimwambia Sarah akubali jukumu la kumlea mjukuu, mr P alikuwa na furaha moyoni ya kupata mtoto wa kiume. Alimhudumia kwa kila kitu.

Machoni mwa Sarah mr P alikuwa ni malaika, mwanaume gani akukute na mtoto amsomeshe na hata kumlea mtoto wake bila malalamiko.

Ninakumbusha tu vyote vinga’aavyo si dhahabu.
Ati una kaundugu na Irene Mbowe
 
Sarah alitoka kwenye familia nzuri sana, baada ya kumaliza mafunzo ya ualimu alianza kazi kwenye wilaya moja. Alikuwa na mawasiliano na boyfriend wake wa tangu shuleni. Huyu alikuwa mgeni wake ambae alimtembelea mara kwa mara wakati huo akiwa chuo kikuu. Sarah alijua huyu ndiye mume wake kwani ndiye alikuwa boyfriend wake wa kwanza.

Mambo yalibadilika Sarah alipopata ujauzito. Boyfriend alishauri mimba itolewe. Sarah alikomaa na mimba yake licha ya jamaa kukata mawasiliano. Wakati wa kujifungua familia yake ilimpa msaada mkubwa. Alipata mtoto wa kike alimuita Michelle.

Sarah aliendelea na kazi na malezi ya Michelle, walipanga chumba na sebule na Sarah alijiongeza kwa kupika vitafunwa pembeni na ajira. Hawakuwa na maisha mabaya na Sarah alikuwa mwendaji kanisani kila Jumapili na mtoto wake alipata mafundisho yote ya dini.

Kule kazini kulikuwa na Mwalimu Betty ambae binamu yake alikuwa anatafuta mke. Binamu wa Betty alikuwa mfanya biashara mkubwa sana. Licha ya biashara alikuwa anagombea ubunge. Sarah alionekana kuwa chaguo bora la binamu ambae nitamuita mr P for politician.

Baada ya harusi kubwa Sarah na Michelle walihamia kwenye mji mkubwa waliishi kwenye nyumba ya ghorofa pamoja na mr P. Michelle alipata chumba chake, alipewa dereva wa kumpeleka shule na shule alisoma English Medium.

Michelle alipofikisha miaka 12 wakati huo mr P biashara zimeshamiri na sasa ni mheshimiwa alianza kum molestar Michelle akimtisha kuwa akimwambia mama yake watarudi kwenye chumba chao kule walikotoka.

Michelle alitunza siri mpaka alipopata uja uzito akiwa na miaka 15. Wakati huo Sara na mr P walikuwa na binti wa miaka mitatu. Mr P alimkataza Michelle kusema Baba wa mtoto akimuahidi kumpeleka Ulaya kusoma baadavya kujifungua. Ni kweli baada ya kujifungua Michelle kwanza alihamishiwa shule ya bweni kumaliza shule na alipelekwa Ulaya kwa masomo ya juu.

Michelle alipata mtoto wa kiume. Mr P alimwambia Sarah akubali jukumu la kumlea mjukuu, mr P alikuwa na furaha moyoni ya kupata mtoto wa kiume. Alimhudumia kwa kila kitu.

Machoni mwa Sarah mr P alikuwa ni malaika, mwanaume gani akukute na mtoto amsomeshe na hata kumlea mtoto wake bila malalamiko.

Ninakumbusha tu vyote vinga’aavyo si dhahabu.
Huuu utajiri huu kama sio ushirikina ni nini kuzaa na mtoto sio laana hii jamani
 
Back
Top Bottom