Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,011
we umeenda chuo kusoma au kunya?
hii post lazima imeandikwa toka kwenye hivyo vyoo. Bisha nilete ushahidi.
we umeenda chuo kusoma au kunya?
Sasa unazungumzia nini, vyoo kuziba au chemba kutiririsha maji kwenye mifereji? Chemba kutiririsha maji kwenye mifereji ni sehemu ya solution ya kuzibua vyoo, kwa hiyo tuvumilie kwa muda hiyo harufu kwani matokeo yake yatasaidia kuwa na vyoo visafi.
Naona umeamua kupindisha hoja kwa makusudi. Kwani hayo yanayotiririka kwenye mifereji UDSM yanaelekea jikoni?...Choo chako kikiziba Fungulia basi na chemba za hicho choo chako zitiririshe kinyesi jikoni kwako ,sebuleni kwako pamoja na chumbani kwako nadhani utakuwa umezibua choo!...
Hivi nyie mnaenda Chuo Kikuu Ku.NYA au kusoma? kutwa kucha mnalalamika VYOO kwani mnasomea vyooni? Sijawahi kusikia mtu analalamika Maktaba hakuna vitabu vya kutosha, up-to date journals au upungufu wa wahadhiri. Nyie mmekalia VYOO na KANTINI tena unaweza ukakuta huyu aliyeandika hapa anasoma BA KISWAHILI na Mkopo kapata 100% sasa akili yake inawaza kula tu ndo maana muda wote anafikria wapi ataenda kubwaga uhar.o wake. Acheni Ujing.a Nyie pigeni shule pamoja ubovu wa vyoo UDSM imezalisha watu maarufu duniani ikiwemo Marais kadhaa hivyo kuendelea kulalamika vyoo vyoo hakutabidilisha kitu piga shule ukiwa na haja kimbilia Porini kama wenzako maisha yanaenda Maliza shule uigie mtaani ukifika huko jenga choo chako sasa.Hapo chuoni unapita tu
We umeenda chuo kusoma au kunya?
Si uhamie chuo chenye choo
We umeenda chuo kusoma au kunya?
Duh!Hivi nyie mnaenda Chuo Kikuu Ku.NYA au kusoma? kutwa kucha mnalalamika VYOO kwani mnasomea vyooni? Sijawahi kusikia mtu analalamika Maktaba hakuna vitabu vya kutosha, up-to date journals au upungufu wa wahadhiri. Nyie mmekalia VYOO na KANTINI tena unaweza ukakuta huyu aliyeandika hapa anasoma BA KISWAHILI na Mkopo kapata 100% sasa akili yake inawaza kula tu ndo maana muda wote anafikria wapi ataenda kubwaga uhar.o wake. Acheni Ujing.a Nyie pigeni shule pamoja ubovu wa vyoo UDSM imezalisha watu maarufu duniani ikiwemo Marais kadhaa hivyo kuendelea kulalamika vyoo vyoo hakutabidilisha kitu piga shule ukiwa na haja kimbilia Porini kama wenzako maisha yanaenda Maliza shule uigie mtaani ukifika huko jenga choo chako sasa.Hapo chuoni unapita tu
Hivi nyie mnaenda Chuo Kikuu Ku.NYA au kusoma? kutwa kucha mnalalamika VYOO kwani mnasomea vyooni? Sijawahi kusikia mtu analalamika Maktaba hakuna vitabu vya kutosha, up-to date journals au upungufu wa wahadhiri. Nyie mmekalia VYOO na KANTINI tena unaweza ukakuta huyu aliyeandika hapa anasoma BA KISWAHILI na Mkopo kapata 100% sasa akili yake inawaza kula tu ndo maana muda wote anafikria wapi ataenda kubwaga uhar.o wake. Acheni Ujing.a Nyie pigeni shule pamoja ubovu wa vyoo UDSM imezalisha watu maarufu duniani ikiwemo Marais kadhaa hivyo kuendelea kulalamika vyoo vyoo hakutabidilisha kitu piga shule ukiwa na haja kimbilia Porini kama wenzako maisha yanaenda Maliza shule uigie mtaani ukifika huko jenga choo chako sasa.Hapo chuoni unapita tu
hali ni mbaya mpaka kwenye hostel za mabibo block C pale na block E chemba zinatema mavi kunanuka hakutamaniki wahusika waliangalie suala la miundo mbinu udsm.