Vyoo vya UDSM/SRs ni aibu

Andrew123

JF-Expert Member
Jun 2, 2012
7,052
8,638
Wadau pamoja na UDSM kuwa na sifa kubwa kimataifa na kuwa chuo kikongwe TZ lakini mazingira ya kusomea yanasikitisha hususani sehemu kama vyoo (mfano vyoo wa SR, CoET, TATAKI, PESS office, Old DARUSO offices & Halls of Residence hasa Main Campus) ninachojiuliza hakuna watu wanaoangalia masuala ya usafi hapa chuoni. Fikiria unaenda chooni unakuta mikojo imetapakaa mpaka sakafuni kinyesi kila mahali halafu mnapishana na prof. katoka kukata gogo humo humo huyooo anaelekea class kukata nyanga. AIBU. hebu jifunzeni kwa taasisi nyingine usafi unazingatiwa sana. Iweje MLIMANI CITY waweze nyie mshindwe? viongoz wa UDSM kuanzia VC, DVC, Directors, Deans mnatembelea magari ya gharama sana lakini usafi wa choo unawashinda?
 
aibu sana
sema watanzania sijui ni mazoea ya kunya vichakani na kuchambia majani na rungu?
sasa mtu mzima unajisaidiaje kinyesi juu unaacha! hata kama ni mtu wa usafi anatakiwa kwanini usianze wewe mwenyewe kwa kumwaga maji baada ya kujisaidia?
mabomba yapo maji yapo shida ni nini? nachukia sana
 
Mkuu ndo maana hata Graduates wetu hasa wa UDSM wakitoka hapo akili zao zinakuwa ka choo. hata huko kwenye interview & makazin ni hatari ukiwapa kazi wanafanya ovyo ovyo wanashindwa hata na graduates wa TEKU. UDSM achene mambo ya ajabu mlikuwa na jina na heshima sana Enzi hizo lakini sasa mmejibadilisha mmekuwa wa ajabu ajabu. eti mtu ana GPA 4.5 CV yake Refree kamuandika Mama & Baba yake. Fyuuuuuu......
 
Mkuu ndo maana hata Graduates wetu hasa wa UDSM wakitoka hapo akili zao zinakuwa ka choo. hata huko kwenye interview & makazin ni hatari ukiwapa kazi wanafanya ovyo ovyo wanashindwa hata na graduates wa TEKU. UDSM achene mambo ya ajabu mlikuwa na jina na heshima sana Enzi hizo lakini sasa mmejibadilisha mmekuwa wa ajabu ajabu. eti mtu ana GPA 4.5 CV yake Refree kamuandika Mama & Baba yake. Fyuuuuuu......
kama baba yake waziri?
 
Wadau pamoja na UDSM kuwa na sifa kubwa kimataifa na kuwa chuo kikongwe TZ lakini mazingira ya kusomea yanasikitisha hususani sehemu kama vyoo (mfano vyoo wa SR, CoET, TATAKI, PESS office, Old DARUSO offices & Halls of Residence hasa Main Campus) ninachojiuliza hakuna watu wanaoangalia masuala ya usafi hapa chuoni. Fikiria unaenda chooni unakuta mikojo imetapakaa mpaka sakafuni kinyesi kila mahali halafu mnapishana na prof. katoka kukata gogo humo humo huyooo anaelekea class kukata nyanga. AIBU. hebu jifunzeni kwa taasisi nyingine usafi unazingatiwa sana. Iweje MLIMANI CITY waweze nyie mshindwe? viongoz wa UDSM kuanzia VC, DVC, Directors, Deans mnatembelea magari ya gharama sana lakini usafi wa choo unawashinda?

Si ndo chuo bora..sasa walalama nini??
 
Ndio "BIG RESULTS NOW" hiyo. Tunasema uongozi wa nchi hii umeenda likizo hamuelewi? Ukisomea mazingira machafu akili haishiki! Ila naipa heko Muhimbili hospitali (sio chuo maanake sijaingia).
 
Mkuu ndo maana hata Graduates wetu hasa wa UDSM wakitoka hapo akili zao zinakuwa ka choo. hata huko kwenye interview & makazin ni hatari ukiwapa kazi wanafanya ovyo ovyo wanashindwa hata na graduates wa TEKU. UDSM achene mambo ya ajabu mlikuwa na jina na heshima sana Enzi hizo lakini sasa mmejibadilisha mmekuwa wa ajabu ajabu. eti mtu ana GPA 4.5 CV yake Refree kamuandika Mama & Baba yake. Fyuuuuuu......


Aseee kifua chako kimejaa dharau....
Kichwa chako kimejaa uji.nga...
Moyo wako umejaa wivu...
Fahamu zako zimejaa tope...
Mdomo wako umejaa pumba...
Vidole vyako vimejaa lawama...
Macho yako yamejaa ....
 
Ni kero kibwa sana. Lile eneo ukipita harufu yake ni kali. Nashangaa watu wanatoka maofisini pale CASS Tower hawasikii harufu ile.
 
Wadau pamoja na UDSM kuwa na sifa kubwa kimataifa na kuwa chuo kikongwe TZ lakini mazingira ya kusomea yanasikitisha hususani sehemu kama vyoo (mfano vyoo wa SR, CoET, TATAKI, PESS office, Old DARUSO offices & Halls of Residence hasa Main Campus) ninachojiuliza hakuna watu wanaoangalia masuala ya usafi hapa chuoni. Fikiria unaenda chooni unakuta mikojo imetapakaa mpaka sakafuni kinyesi kila mahali halafu mnapishana na prof. katoka kukata gogo humo humo huyooo anaelekea class kukata nyanga. AIBU. hebu jifunzeni kwa taasisi nyingine usafi unazingatiwa sana. Iweje MLIMANI CITY waweze nyie mshindwe? viongoz wa UDSM kuanzia VC, DVC, Directors, Deans mnatembelea magari ya gharama sana lakini usafi wa choo unawashinda?

Jenga chuo chenu ndo kiwe kisafi kama m city........overrrrrr
 
Mkuu ndo maana hata Graduates wetu hasa wa UDSM wakitoka hapo akili zao zinakuwa ka choo. hata huko kwenye interview & makazin ni hatari ukiwapa kazi wanafanya ovyo ovyo wanashindwa hata na graduates wa TEKU. UDSM achene mambo ya ajabu mlikuwa na jina na heshima sana Enzi hizo lakini sasa mmejibadilisha mmekuwa wa ajabu ajabu. eti mtu ana GPA 4.5 CV yake Refree kamuandika Mama & Baba yake. Fyuuuuuu......

Ulitaka akuandike wewe
 
Wadau pamoja na UDSM kuwa na sifa kubwa kimataifa na kuwa chuo kikongwe TZ lakini mazingira ya kusomea yanasikitisha hususani sehemu kama vyoo (mfano vyoo wa SR, CoET, TATAKI, PESS office, Old DARUSO offices & Halls of Residence hasa Main Campus) ninachojiuliza hakuna watu wanaoangalia masuala ya usafi hapa chuoni. Fikiria unaenda chooni unakuta mikojo imetapakaa mpaka sakafuni kinyesi kila mahali halafu mnapishana na prof. katoka kukata gogo humo humo huyooo anaelekea class kukata nyanga. AIBU. hebu jifunzeni kwa taasisi nyingine usafi unazingatiwa sana. Iweje MLIMANI CITY waweze nyie mshindwe? viongoz wa UDSM kuanzia VC, DVC, Directors, Deans mnatembelea magari ya gharama sana lakini usafi wa choo unawashinda?

Umesahau vile vya CASS,mitaa ya Utawala daaaaaah.
sijui kwa sasa pakoje......
Vumilia nasi tulipatumia hivyo hivyo pamoja na kelele nyingi kwa Uongozi wa chuo.
 
chuo ndo kwanza kimefunguliwa.Afu we muongo tangu lini tunajisaidia choo kimoja na walimu.Afu wafanya usafi ni wengi sana.mlaumu alokunya juu na sio wakuu.
 
Mkuu ndo maana hata Graduates wetu hasa wa UDSM wakitoka hapo akili zao zinakuwa ka choo. hata huko kwenye interview & makazin ni hatari ukiwapa kazi wanafanya ovyo ovyo wanashindwa hata na graduates wa TEKU. UDSM achene mambo ya ajabu mlikuwa na jina na heshima sana Enzi hizo lakini sasa mmejibadilisha mmekuwa wa ajabu ajabu. eti mtu ana GPA 4.5 CV yake Refree kamuandika Mama & Baba yake. Fyuuuuuu......

Mkuu ebu jiheshimu,,,unaposema akili zao zinafanana na vyoo unamaanisha nini?
 
Wadau pamoja na UDSM kuwa na sifa kubwa kimataifa na kuwa chuo kikongwe TZ lakini mazingira ya kusomea yanasikitisha hususani sehemu kama vyoo (mfano vyoo wa SR, CoET, TATAKI, PESS office, Old DARUSO offices & Halls of Residence hasa Main Campus) ninachojiuliza hakuna watu wanaoangalia masuala ya usafi hapa chuoni. Fikiria unaenda chooni unakuta mikojo imetapakaa mpaka sakafuni kinyesi kila mahali halafu mnapishana na prof. katoka kukata gogo humo humo huyooo anaelekea class kukata nyanga. AIBU. hebu jifunzeni kwa taasisi nyingine usafi unazingatiwa sana. Iweje MLIMANI CITY waweze nyie mshindwe? viongoz wa UDSM kuanzia VC, DVC, Directors, Deans mnatembelea magari ya gharama sana lakini usafi wa choo unawashinda?

Wako bussy wanawaza kuimarisha UDOM wakimaliza watarudi UDSM
 
Back
Top Bottom