Nchi zetu hizi mwanasiasa ana nguvu kuliko mtu yeyote, ndiyo maana anaweza asiwe na imani na CDF ikapigwa figisu akatolewa, au DGIS ikapigwa figisu akatoka, ama IGP inapigwa figisu anatoka.
Nchi zetu hizi mwanasiasa ana nguvu kuliko mtu yeyote, ndiyo maana anaweza asiwe na imani na CDF ikapigwa figisu akatolewa, au DGIS ikapigwa figisu akatoka, ama IGP inapigwa figisu anatoka.
Hata hivyo hii nchi mmezidi kuvitenganisha vyombo.
Inatakiwa hivyo vyombo vya usalama vifanye kazi na wanasiasa kuijenga na kuiweka nchi katika mazingira rafiki kimaendeleo.
Tusifanye fallacy ya othering kila kitengo. Maaana ukipitiliza hapo utasema wananchi nao wasishirikiane na wanasiasa. Na wanajeshi nao wasishirikiane na wananchi etc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.