Opera Min
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 901
- 657
Pole sana huyo ni tapeli tu ila siyo mfanyakazi yoyote ile.
Mkuu naskia siku hizi ka ajiriwa jeshini nahisi hata katumia vyeti feki.
Pole sana huyo ni tapeli tu ila siyo mfanyakazi yoyote ile.
Wakuu hili jambo ni zito, yupo pia Uvccm huko. Simiyu Yetu, Zemarcopolo, Mwanadiwani, Lizaboni, Ritz1 et al njooni mwenzenu huyo.
Taifa la matapeli na yanalindwa kwa hali yoyote na mfumo
Kilichokufanya ujipeleke huko ni nn? Umejitakia mwenyewe kwa hyo huyo bwana yuko sahihi na ikumbukwe kua watanzania wengi tunapenda short cut
Mkuu naskia siku hizi ka ajiriwa jeshini nahisi hata katumia vyeti feki.
....mpaka na mke wake atakamatwa..
Unataka kusaidiwa husemi Airwing ya wapi!! zipo nyingi au taarifa hii nayo umetapeliwa?
Mkuu RB zipo zaidi ya kumi katika vituo mbalimbali nchini, unataka ngapi zibandikwe humu?
Wakuu nimeikuta hii sehemu, hakika Jeshi la wananchi haliwezi kukwepa kadhia hii ya kuajiri tapeli ambaye watu wanahaingaka kumtafuta na wapo kimya.
Jisomeeni wenywewe;
Ni kijana mzaliwa wilaya ya Same kata ya Suji kijiji cha Tae,ni tapeli mkubwa anae jifanya usalama wa taifa,uvccm,afisa wa tamisemi,TRA,NECTA N.K...jina lake halisi ni NELSON SAFIEL MTETA (MANDELA),amewahi kufanya kazi VETA Tanga,morogoro,kibaha na sasa kuna taarifa kuwa anafanya kazi karakana ya jeshi airwing. Ambapo kuingia tu kumuona unaweza kula kichapo kwa wazee wa kazi.
Mtu huyu wana jf ni tapeli mkubwa akiwa jijini tanga amewatapeli wafanya biashara kibao akijifanya ni afisa wa TRA,amewatapeli vijana wengi akijifanya atawapatia leseni za udereva,ametapeli walimu kwa kujifanya atawahamisha vituo vyao vya kazi na kuwapandisha madaraja,amewatapeli watu wengi tu akijifanya atawapatia nafasi za jeshi,jkt,polisi na magereza,na hata kuwatafutia vyeti feki vya form 4 na 6,amemtapeli hata na mkewe ambae ni mwalimu (Safiness Brown Abbas) wa shule moja ya msingi jijini tanga na kumtelekeza kwa kumnyanganya documents zake za kazi, namba anazotumia ni 0784/0657 991187,0652 717271,0755 441940.
Mimi mwenyewe amenitapeli pesa taslimu TSH laki 8 namsaka kwa udi na uvumba usiku na mchana....
JIEPUSHENI NAE.
Kama ulishafahamu kuwa kwa sasa anapatikana wapi, mbona hujaeleza kama uliwahi kuwasiliana na viongozi wake?? au ulishapeleka summons?? zaidi kinachoonekana hapa ni nia yako ya kumchafua huyo jamaa katika media, na kwa vile labda naye hana fursa ya kukujibu humu. Au labda wewe ndiye mkewe ambaye amekukimbia na ameoa mwanamke mwingine sasa povu linakutoka!! Tuache tujadili mambo mazito yanayolikumba taifa kwa sasa, unless utueleze kuwa naye ni mtu mkubwa sana asiyewezekana kama mgao wa umeme.
Unataka kusaidiwa husemi Airwing ya wapi!! zipo nyingi au taarifa hii nayo umetapeliwa?
huyu jamaa mimi akitaka eti kunitafutia kazi kama Afisa Tawala chuo cha Veta akaniambia nimpe laki nne kwa bahati nzuri nikamwambia mpaka nipate kwanza ndipo apewe dah! namshukuru mungu nipata kazi bila kutapeliwa kumbe huyu jamaa ni tapeli Sugu dah! Jf ni kila kitu hapa .