Kahtan Ahmed
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 755
- 468
Najiuliza kwanini vyombo vya habari vya Tanzania vinashindwa kuripoti na kufichua uovu wa Serikali ya Tanzania
Kuna Matatizo mengi kama Umeme, Maji, Usalama wa Raia, Huduma mbovu ya Fya, Mfumo mbovu wa elimu, Ufisadi kwanini hawayasemi na kutakemea inamaana hayapo?
Ni dhahiri kua wanaogopa kueleza au wamelishwa wanyamaze
Ila mnachokitengeneza ni utumwa
Kuna Matatizo mengi kama Umeme, Maji, Usalama wa Raia, Huduma mbovu ya Fya, Mfumo mbovu wa elimu, Ufisadi kwanini hawayasemi na kutakemea inamaana hayapo?
Ni dhahiri kua wanaogopa kueleza au wamelishwa wanyamaze
Ila mnachokitengeneza ni utumwa