mi huwa siwaamin polisi....mambosasa kashawakana raia waliopigwa na askari......anyway yawezekana ni kweliKwahiyo siro ni muongo?
mi huwa siwaamin polisi....mambosasa kashawakana raia waliopigwa na askari......anyway yawezekana ni kweliKwahiyo siro ni muongo?
" fire and fury " kwa sauti ya trump!!! haaaa haaa haaaa, !! mkuu umenifurahisha! !Wakishafuzu huko JIHA... basi kamanda siro na deputy wake Mombasasa waanze kujiandaa maana hao watoto wataleta "fire and fury"
Wewe hujui usemalo, Mungu akusamehe bureVyombo Vya Habari Vimechangia Kupotea Kwa Mwandishi Azory Gwanda Kwasababu Viliamua KUYAFUMBIA MACHO Matukio Ya Watu Kuokotwa Kwenye Sandarusi Coco Beach, Watoto 1300 Kupotea Kibiti, Watu Kutekwa Hovyo Kila Siku, Laiti Kama Wangekemea Vitendo Hivi Leo Mwahabari Wao Asingepotea
Kuna wakati walipotea watu wa Kawaida..Waandishi hawakuwasemea, walitekwa wengi bado walikuwa kimya. Kwasababu hii imekuwa dhambi tuliyoilea Leo ametekwa mwenzao wameona madhira yake. Sishabikii utekwaji huu. Ila natamani mjue kwanini hamkupaswa kuwa waoga wakati wakitekwa wengne
mr mkiki.