Mazuri yote ya JPM yanaweza kupotea kwa hatua hii ya kuwanyima wananchi walipa kodi fursa ya kupata taarifa muhimu ...Habari za asubuhi wadau,
Ni muda mrefu sana nimekuwa nikifuatlia mwenendo wa serikali mpya ya awamu ya 5 Tanzania hususani katika kusimamia haki za watanzania ikiwemo ya kupata taarifa na uhuru wa vyombo vya habari.
Kiukweli naona hoja zinapishana na sioni nguvu za wasomi wetu katika kuishauri serikali hii na kama ipo basi si ya kuzalisha matokeo chanya miaka 5 ijayo hii ni hatari sana.
Nimezipokea kwa masikitiko taarifa za kutorusha live bunge kutoka vyombo mbalimbali vya habari ambvyo vinaoperate binafsi. Na sasa watatakiwa kuchukua signals kutoka TBC ambao kwa mujibu wa taarifa nilizonazo wameanzisha studio maalum ya kurusha matangzo inayopatikana bungeni dodoma.
Lakini pia hiyo studio itarusha live sehemu/kipindi cha maswali na majibu sana. Hoja ya msingi mwanzoni ilikuwa pesa nyingi zinapotea kurusha live matangazo lakini zipo taasisi zilizotaka kufund hzo broadcasting costs still serikali inaonekna haiko interested???? Labda wanataka hizo pesa wapewe watengeneze barabara[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Maoni yangu Rais magu anaonekna ni mpenda haki kwa watanzania je haoni watu kutopata taarifa za bungeni yanayojili kunadumiza haki? Na je uhuru wa vyombo vya habari ambavyo vilitumika kiasi kikubwa kumcampaign na kumfanya aingie madarakani vitakuwaje? TBC ni shirika la umma ambalo kamwe haliwezi kuuma serikali kwa kufuata editoral policy walizonazo.
Any person who is alright upstairs wouldn't post such a thing. Hata kama unalipwa kwa kufanya hivyo ni kwamba unadhalilisha utu wako.HIVI SAA HIZI ZA ASUBUHI BADALA YA KUHANGAIKIA RIZIKI UNATAKA KUANGALIA VIPINDI VYA BUNGE????
AU HUNA KAZI ZA KUFANYA SAA HIZI????
Hii ni zaidi ya kubana matumizi. Ni kuwanyima wanachi haki yao ya kujua kile wawakilishi wao wanachokiongea. Mbona vituo binafsi navyo vimezuiliwa?
Hama chama kwani hata Kingunge alihama wewe unasubiri nini?Nakerwa sana na chama changu CCM kutokana na hii tabia ya udikteta ya kuminya haki yetu ya msingi ya kuhabarishwa.
Ningependa upinzani bungeni wagome kabisa kuudhuria vikao vya Bunge Hadi CCM iachie. CCM wenyewe hatuwezi kupitisha miswaada bila kujadili na wapinzani. Tutakuwa tunajikaanga wenyewe. Dawa hapa itakuwa ni kila mtu aitwaye mpinzani kususia Bunge Hadi Matangazo Ya Moja Kwa Moja yarudishwe.
Hii itakuwa ni aibu kubwa sana kwa CCM kuiendesha nchi kiubabe, na ukitizama kule Zanzibar ambako nao ni wenyewe, basi CCM tutakuwa tumejimaliza wenyewe
Sure! Sinapingamizi juu ya hiloipo siku itakuja ambapo kikwete na mapungufu yake ataonekana alikuwa bora mara 100.siburi miaka 5 ikatike hamna hata kiwanda kimoja kitakachojengwa
Huu ni upunguani wa hali ya juu sana magufuli hawezi kushindwa kutimiza malengo yake kwa kubania wananchi kuangalia bunge.Hii ni zaidi ya kubana matumizi. Ni kuwanyima wanachi haki yao ya kujua kile wawakilishi wao wanachokiongea. Mbona vituo binafsi navyo vimezuiliwa?
ulitaka niwepo muda gani?Na ww mbona uko asubuhi hii huku jf ...acha unafiki....
Habari za asubuhi wadau,
Ni muda mrefu sana nimekuwa nikifuatlia mwenendo wa serikali mpya ya awamu ya 5 Tanzania hususani katika kusimamia haki za watanzania ikiwemo ya kupata taarifa na uhuru wa vyombo vya habari.
Kiukweli naona hoja zinapishana na sioni nguvu za wasomi wetu katika kuishauri serikali hii na kama ipo basi si ya kuzalisha matokeo chanya miaka 5 ijayo hii ni hatari sana.
Nimezipokea kwa masikitiko taarifa za kutorusha live bunge kutoka vyombo mbalimbali vya habari ambvyo vinaoperate binafsi. Na sasa watatakiwa kuchukua signals kutoka TBC ambao kwa mujibu wa taarifa nilizonazo wameanzisha studio maalum ya kurusha matangzo inayopatikana bungeni dodoma.
Lakini pia hiyo studio itarusha live sehemu/kipindi cha maswali na majibu sana. Hoja ya msingi mwanzoni ilikuwa pesa nyingi zinapotea kurusha live matangazo lakini zipo taasisi zilizotaka kufund hzo broadcasting costs still serikali inaonekna haiko interested???? Labda wanataka hizo pesa wapewe watengeneze barabara[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Maoni yangu Rais magu anaonekna ni mpenda haki kwa watanzania je haoni watu kutopata taarifa za bungeni yanayojili kunadumiza haki? Na je uhuru wa vyombo vya habari ambavyo vilitumika kiasi kikubwa kumcampaign na kumfanya aingie madarakani vitakuwaje? TBC ni shirika la umma ambalo kamwe haliwezi kuuma serikali kwa kufuata editoral policy walizonazo.