Vyombo vya habari kutokurusha bunge LIVE

Vyombo vya habari kutokurusha bunge LIVE

Da! uhuru wa vyombo vya habari bado unazidi kusiginwa! ni hatari kweli kweli ila naona raisi Magufuli hatakubali haya ya akina Nape! naona issue hapa ni kuogopa upinzani IMARA bungeni!
huwa ninawashangaa watanzania wa aina yako mnamfanya magufuli kama malaika na akina nape kama ndio wamefanya makosa hivi Nape na nguvu gani ya kuzuia bila kuwepo na idhini ya mkuu wa nchi au bosi wake.acheni kumsingizia nape,nape ni bendera fata upepo.ungekuwa wa maana kusema anachokifanya magufuli si kizuri
 
HIVI SAA HIZI ZA ASUBUHI BADALA YA KUHANGAIKIA RIZIKI UNATAKA KUANGALIA VIPINDI VYA BUNGE????
AU HUNA KAZI ZA KUFANYA SAA HIZI????


id yako ishamaliza kila kitu hushelewi kukata tawi ulilokalia au kuwinda nzi kwa kutumia rungu....
 
Nakerwa sana na chama changu CCM kutokana na hii tabia ya udikteta ya kuminya haki yetu ya msingi ya kuhabarishwa.

Ningependa upinzani bungeni wagome kabisa kuudhuria vikao vya Bunge Hadi CCM iachie. CCM wenyewe hatuwezi kupitisha miswaada bila kujadili na wapinzani. Tutakuwa tunajikaanga wenyewe. Dawa hapa itakuwa ni kila mtu aitwaye mpinzani kususia Bunge Hadi Matangazo Ya Moja Kwa Moja yarudishwe.

Hii itakuwa ni aibu kubwa sana kwa CCM kuiendesha nchi kiubabe, na ukitizama kule Zanzibar ambako nao ni wenyewe, basi CCM tutakuwa tumejimaliza wenyewe
 
h
Hauhitaji elimu ya chuo kikuu kujua haki yako ndugu kama huzjui haki zako kasome certificate ya law itakusaidia...uhuru wa taarifa ni muhimu kuliko hata kula...huwez kula kma hauna taarifa ya chakula ulacho
uyo jamaa na mfano wa watanzania wengi kama akina jingalao
 
huu ni "ubwege",mwenge na kurusha matangazo ya bunge kipi kinatumia gharama kubwa?kipi kina tija kwa wananchi?
Na ww mbona uko asubuhi hii huku jf ...acha unafiki....
 
Nakerwa sana na chama changu CCM kutokana na hii tabia ya udikteta ya kuminya haki yetu ya msingi ya kuhabarishwa.

Ningependa upinzani bungeni wagome kabisa kuudhuria vikao vya Bunge Hadi CCM iachie. CCM wenyewe hatuwezi kupitisha miswaada bila kujadili na wapinzani. Tutakuwa tunajikaanga wenyewe. Dawa hapa itakuwa ni kila mtu aitwaye mpinzani kususia Bunge Hadi Matangazo Ya Moja Kwa Moja yarudishwe.

Hii itakuwa ni aibu kubwa sana kwa CCM kuiendesha nchi kiubabe, na ukitizama kule Zanzibar ambako nao ni wenyewe, basi CCM tutakuwa tumejimaliza wenyewe
Wazo zuri, tatizo ni kuwa UKAWA wakisusia hawa CCM wanaendela. Ona Zanzibar, wanaendelea as if nothing has happened. Katiba ya Warioba, waliendelea na kila mmoja sasa kanyamaza. WHAT IS THE RIGHT PATH?
 
Magufuli hii hata kama ni kubana matumizi lakini hizi sifa umezidisha
Bunge haliwezi kuendeshwa kibubu bubu kama mikutano ya wachawi.
 
Wazo zuri, tatizo ni kuwa UKAWA wakisusia hawa CCM wanaendela. Ona Zanzibar, wanaendelea as if nothing has happened. Katiba ya Warioba, waliendelea na kila mmoja sasa kanyamaza. WHAT IS THE RIGHT PATH?
tatizo ukidai haki yako unaminywa korodani na kung'olewa meno, na mtutu juu
 
Nakerwa sana na chama changu CCM kutokana na hii tabia ya udikteta ya kuminya haki yetu ya msingi ya kuhabarishwa.

Ningependa upinzani bungeni wagome kabisa kuudhuria vikao vya Bunge Hadi CCM iachie. CCM wenyewe hatuwezi kupitisha miswaada bila kujadili na wapinzani. Tutakuwa tunajikaanga wenyewe. Dawa hapa itakuwa ni kila mtu aitwaye mpinzani kususia Bunge Hadi Matangazo Ya Moja Kwa Moja yarudishwe.

Hii itakuwa ni aibu kubwa sana kwa CCM kuiendesha nchi kiubabe, na ukitizama kule Zanzibar ambako nao ni wenyewe, basi CCM tutakuwa tumejimaliza wenyewe
Sawa.
 
Nakerwa sana na chama changu CCM kutokana na hii tabia ya udikteta ya kuminya haki yetu ya msingi ya kuhabarishwa.

Ningependa upinzani bungeni wagome kabisa kuudhuria vikao vya Bunge Hadi CCM iachie. CCM wenyewe hatuwezi kupitisha miswaada bila kujadili na wapinzani. Tutakuwa tunajikaanga wenyewe. Dawa hapa itakuwa ni kila mtu aitwaye mpinzani kususia Bunge Hadi Matangazo Ya Moja Kwa Moja yarudishwe.

Hii itakuwa ni aibu kubwa sana kwa CCM kuiendesha nchi kiubabe, na ukitizama kule Zanzibar ambako nao ni wenyewe, basi CCM tutakuwa tumejimaliza wenyewe



KWA NINI USISHAURI WABUNGE WOTE? KWANI WALE WA CCM WANAMUWAKILISHA NANI MULE BUNGENI?
 
Magufuli hii hata kama ni kubana matumizi lakini hizi sifa umezidisha
Bunge haliwezi kuendeshwa kibubu bubu kama mikutano ya wachawi.
Hii ni zaidi ya kubana matumizi. Ni kuwanyima wanachi haki yao ya kujua kile wawakilishi wao wanachokiongea. Mbona vituo binafsi navyo vimezuiliwa?
 
id yako ishamaliza kila kitu hushelewi kukata tawi ulilokalia au kuwinda nzi kwa kutumia rungu....
umenikumbusha mbali,enzi niko darasa la pili,hicho kitabu abunuwasi kilikua my favourite
 
Back
Top Bottom