Vyombo vya habari kutokurusha bunge LIVE

Vyombo vya habari kutokurusha bunge LIVE

...hivi ni kwa nini serikali ya hawamu ya tano imejaa hofu?...
 
Ccm wamevimbiwa, nadhani hii ni matokeo ya mikakati ya kina "Tyson" na Lyatonga kufuatia picha zao za kuuchapa usingizi bungeni hadi udenda kuwatoka,

Kwa kutokujua kwao kosa wanalolifanya ni kubwa kuliko la kusinzia mjengoni.
 
Katika vitu ..ccm amekosea ni hili pia...Sis tunataka tuone jins Lugumi ,anachinjwa wao hawataki...
 
Wafunge kila kitu TBC waripoti wanachotaka wao kwa manufaa ya wananchi wao wa TBC
 
ACHA UBINAFSI KWA KUJIANGALIA MWENYEWE,KWANI WATU WOTE WAPO KAZINI MUDA ULIOPO WEWE KAZINI.
 
Tatizo hapa ni wabunge tuliowachagua wenyewe badala ya kuweka msukumo wa pamoja wamejitengatenga ndiyo maana serikali imeweza kuutumia huo udhaifu kwa manufaa yake. Capitalization resulting from the weakness of the other party.
 
HIVI SAA HIZI ZA ASUBUHI BADALA YA KUHANGAIKIA RIZIKI UNATAKA KUANGALIA VIPINDI VYA BUNGE????
AU HUNA KAZI ZA KUFANYA SAA HIZI????
Nimetoka kibaruani shifti ya saa 4 ucku na leo naingia saa 8 mchana hapo inakuaje
 
HIVI SAA HIZI ZA ASUBUHI BADALA YA KUHANGAIKIA RIZIKI UNATAKA KUANGALIA VIPINDI VYA BUNGE????
AU HUNA KAZI ZA KUFANYA SAA HIZI????
wewe nahisi umeathirika na ile tabia yako yam utotoni ya kuchungulia wapangaji bafuni wakiwa wanaoga. Nani kasema kwa vile mie nipo kazini muda huu basi wengine woooote Tanzania wasiangalie TV? Na je ni kipindi cha bunge LIVE tu ndio kinazuia watu kufanya kazi au vipindi vyote vya TV stations zote? Vipi kuhusu matangazo ya redio,pia yazimwe? Nyuchi za wapangaji ulizozichungulia utotoni zimeathiri uwezo wako wa kufikiri otherwise usingetetea upuuzi kama huu.
 
Ufisadi unanguvu sana hadi wamezuia Matangazo ya Moja kwa moja ya Bunge

Asante Chenge
 
Wasomi ndio hao akina Humphrey polepole what do you expect..
 
HIVI SAA HIZI ZA ASUBUHI BADALA YA KUHANGAIKIA RIZIKI UNATAKA KUANGALIA VIPINDI VYA BUNGE????
AU HUNA KAZI ZA KUFANYA SAA HIZI????
umekalili wewe kazi zinafanyika asubuhi tu kuna wanaoingia usiku saa iv wako majumban wamepumzika kuna wafanya biashara hpo kwenye sehemu yake ya biashara kuna tv ,,
 
Aaaaaah mwanzo walisema vituo binafs wataruhusiwa ila tbc kwa kuwa gharama ni kubwa itakua recorded, wajitokeza watu wakasema watatoa pesa wamegoma sasa wameamua kuzuia watu binafs pia

Kwa hili mh rais litampunguzia crédibilities kabisa

Kama hoja watu wafanye kazi kwa nini basi TV stations zinapiga kazi masaa 24?

kama tunaongozwa na watu wanaofikiri kwa hali hiyo hapo juu katika simple matters,hawa wataweza kweli kupanga mikakati ya maana ya maendeleo?
 
Leo hii, kwa maana ya muda huu serikali kupitia kwa Waziri wa Fedha inawasilisha Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo kwa Miaka Mitano na Mkakati wa Kukuza Uchumi bila ya wananchi kujua kilichomo ndani ya huo mpango
 
Back
Top Bottom