Vyombo vya habari acheni unafiki

da. Aiseee....aibu! Kule iraq bomu moja likilipuka na hata mtu mmoja tu akifa vyombo vyote vya habari vya kiamerika vinafanya habari kuu.

Jana arusha watu watatu wamekufa na rundo wamejeruhiwa. Hii ni international main story na haipo kokote kama habari kuu?

Aibuuu.......mungu wangu. Hii nchi kweli ni nchi ya vilaza.....

chukulia lile tukio la boston-marekani kama sikosei,ni watu 3 waliuawa lakini msako wake ulivunja rekord ya dunia,sawa hatuwezi kufikia kama usa lakini jitihada zinaweza kufanyika kama wakati ule walivyouawa polisi watatu na mbwa 1 pale dar miaka ya nyuma kipindi cha mahita,jitihada zilionekana na walifanikiwa kuwakamata na kuwaua wahusika wote......

Swali katika hili tutaona jitihada kama za wakati ule na wakati alipouawa barlow,japo hizo jithada hatukuziona wakati wa mlipuko pale olasit-kanisani....

Yangu macho,naogopa kucha zangu,kwaherini
 
Mkuu wala usishangae sana, siku ya jana Tv na radio za bongo nyingi zilillipwa pesa ya kutosha na CCM ili kufanya coverage ya propaganda za CCM, na magazeti ya leo pia walishalipwa kufanya hilo.
Ninao ushahidi juu ya malipo hayo ya CCM.

Utoe huo ushahidi hapa ili waumbuke
 
hi TBC cjui inaumuhimu gan kwa waTZ mana chombo cha habari cha wananchi kam kinabakinyuma kutoa habari kama ya arusha kuna walakini,,,,yan Enzi za Tido pale TBC ilikuwa ful update,sas uyu wa sas sijui ananini?

Tido is very smart angalia alivyoenda Mwananchi jamaa wanazidi kupaa tu!
 
Ukiangalia taarifa ya hbr TBC kuanzi mwanzo mpaka mwisho ni ufunguzi wa miradi ya serikali na ziara za wakuu wa serikali.tofauti na enzi ya MHANDO
 
Mimi huwa sina mazoea ya kuangalia tbc lakini ni mara nyingi sasa kila nikisema nichungulie labda wataonesha hilo janga,nakutana na sura ya obama.Hivi hao marekan wamelipia au ni kujipendekeza tu kama kawaida yetu?
 
Wataje nini ? Wangelikuwepo Waarabu wangetangaza masaa 24/7... la ajabu waalabu wanatafutwa kwanza.
SOB
 
Hadi muwape bahasha ndo watatangaza. Waandishi wa habari Tanzania wengi ni njaa sana
 
Channel 10 naona ndio wanarusha live.
Vyombo vya habari mnapaswa kuwa mfano.
cc Star TV

Nasikia channel10 wamepigiwa simu kwamba wasishadadie hiyo habari, maana itachochea vurugu nchi nzima, ile ya kulipuliwa kanisa ilirushwa na kila chombo? Au kwasababu kulikuwa hakuna watu waliokuwa wanainyooshea kidole CCM moja kwa moja?
 
Last edited by a moderator:
Ila WAUAJI hawataendelea sana hivi karibuni MUNGU anaenda kuvuja kiburi chao na nguvu zao kumalizika kabisa.
 
Chombo kikubwa kama ITV,tena the superbrand kurusha habari za uongo,eti watu7 wamejeruhiwa wakati watu wamekufa,hii vita tuliyo nayo naweza sema ni kwa wananchi tu,me sioni kama kunahaja ya kuwategemea hawa waandishi wetu wa bongo kwani hamna kitu kabisa
 
Zaidi ya vyombo vya habari, hata serikali na vyombo vyake haionyeshi kuguswa na tukio hili kama ilivyokuwa mlipuko wa kanisani. Tusubiri kuona kama viongozi wa juu watamiminika Arusha na kusafirisha majeruhi kwa ndege Dar kwa matibabu zaidi.
 
Back
Top Bottom