Hakuna coverage ya maana kuhusu tukio la Arusha.Bila mtandao kama JF hakuna chombo cha habari kinachotoa updates live ktk tukio hili zito kabisa na mbaya zaidi baadhi ya magazeti yameipa uzito mdogo na wengine hawajaiandika.
Huu mtindo wa kutoshikamana seriously pale swala zito kama hili linapotokea hatutamaliza tatizo kama hili.
Nashangazwa na jinsi vyombo vya habari vinavyo react taratibu while wao pia ni waadhirika wa huu upuuzi.
Hivi ingekuwa hata Kenya Citizen wangekuwa wanarusha vipindi vya kawaida kama TV zetu sasa hivi?
Tunahujumiana alafu baadae mnataka mshikamano huu ni unafiki.
Angalizo:
Taifa Stars leo mfunge vitambaa vyeusi pia kuwe na dk 3 za ukimya.
Vyombo vya habari nahisi na vyenyewe vinaiogopa ccm, sijui vimesahau kuwa viko huko isipokuwa tbc
Au ni mpaka yawakute waandishi wa habari ndio watangaze
Mkuu wala usishangae sana, siku ya jana Tv na radio za bongo nyingi zilillipwa pesa ya kutosha na CCM ili kufanya coverage ya propaganda za CCM, na magazeti ya leo pia walishalipwa kufanya hilo.
Ninao ushahidi juu ya malipo hayo ya CCM.
Ata Star wamejitahidi sema wenzangu na mie TBC kama kawaida..!!!!
Hakuna coverage ya maana kuhusu tukio la Arusha.Bila mtandao kama JF hakuna chombo cha habari kinachotoa updates live ktk tukio hili zito kabisa na mbaya zaidi baadhi ya magazeti yameipa uzito mdogo na wengine hawajaiandika.
Huu mtindo wa kutoshikamana seriously pale swala zito kama hili linapotokea hatutamaliza tatizo kama hili.
Nashangazwa na jinsi vyombo vya habari vinavyo react taratibu while wao pia ni waadhirika wa huu upuuzi.
Hivi ingekuwa hata Kenya Citizen wangekuwa wanarusha vipindi vya kawaida kama TV zetu sasa hivi?
Tunahujumiana alafu baadae mnataka mshikamano huu ni unafiki.
Angalizo:
Taifa Stars leo mfunge vitambaa vyeusi pia kuwe na dk 3 za ukimya.