Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,156
- 55,653
Wakuu habari?
Huwa najiuliza maswali mengi, kwa nini mtu anapofariki, huwa tunakimbilia kurithi mali alizoacha marehemu, kama vile; majengo, viwanja, vyombo vya usafiri, fedha n.k
Lakini hatukimbilii kurithi vyeti alivyoacha marehemu, iwe ni masters, Phd, u-profesa n.k
Nataka nijue, vile vyeti vya taaluma ya marehemu nani huwa anarithi?
Huwa najiuliza maswali mengi, kwa nini mtu anapofariki, huwa tunakimbilia kurithi mali alizoacha marehemu, kama vile; majengo, viwanja, vyombo vya usafiri, fedha n.k
Lakini hatukimbilii kurithi vyeti alivyoacha marehemu, iwe ni masters, Phd, u-profesa n.k
Nataka nijue, vile vyeti vya taaluma ya marehemu nani huwa anarithi?