Wazungu wawili wa denish mtoto wao akizaliwa bongo atapewa cheti hicho lakini haitamaanisha mtoto huyo ni lazima ni mtanzania
Tusaidie ni kwa kifungu gani cha sheriaWazungu wawili wa denish mtoto wao akizaliwa bongo atapewa cheti hicho lakini haitamaanisha mtoto huyo ni lazima ni mtanzania
Tusaidie ni kwa kifungu gani cha sheria
Na uthibitisho wa uraia wa Tanzania ni nini hasa?
1.Historical background ya ukoo,wazazi,babu,bibi n.k
2.historical background ya maisha yake na ushuhuda wa wanaoishi naye na kumzunguka kuhusu maisha yake na mahusiano yake na watanzania ni mzuri au mbaya
3.Tabia ya huyo mtu je ni ya kitanzania au ya nchi fulani
4.Uwezo wa kumudu lugha vizuri.Zamani walikuwa wakihoji hadi kilugha cha eneo analodai kazaliwa na kakulia
5.Muda alioishi Tanzania
6.Faida ambayo nchi itapata kwa kumpa huyo mtu uraia
Hii inakuwa corroborated kivipi?
Kwa hiyo wakipatikana watu hata kitaani tu watakaosema 'aah huyu mbongo bana' inatosha kuthibitisha uraia?
Tabia ya Kitanzania ndo ikoje?
Na wale wa Kiswanglish inakuwaje sasa? Manake Kiswahili hawakimudu vizuri na Kiingereza nacho cha kuunga unga tu.
Hili linathibitishwaje?
Faida inamaanisha nini hapo? Mi ni raia wa Tanzania lakini hata sijui faida yangu kwa nchi.....
Mbona watu wanapenda watoto wao wazaliwe US? Au huko ni automatic citizenship?