erickishengoma
Member
- Mar 25, 2022
- 28
- 34
Habari ya muda huu wakuu.
Samahani mimi nina vyeti kadhaa ikiwemo cha la7, form4, form6, JKT, Cha bachelor pamoja na full result transcript yake, kwa sasa sina pesa ya kutosha kuverfy vyote kwa pamoja, hivi kwa hapo ni vyeti gani muhimu hasa kuverify kwa ajili ya kuombea kazi ajirapotal, au hadi vile kama cha JKT ni muhimu?
Sambamba na hilo naomba connection ya mwanasheria yeyote anyeweza kunifanyia kwa elf 5, nipo Dar Mabibo.
Samahani mimi nina vyeti kadhaa ikiwemo cha la7, form4, form6, JKT, Cha bachelor pamoja na full result transcript yake, kwa sasa sina pesa ya kutosha kuverfy vyote kwa pamoja, hivi kwa hapo ni vyeti gani muhimu hasa kuverify kwa ajili ya kuombea kazi ajirapotal, au hadi vile kama cha JKT ni muhimu?
Sambamba na hilo naomba connection ya mwanasheria yeyote anyeweza kunifanyia kwa elf 5, nipo Dar Mabibo.
