Vyanzo 11 vikuu vya kuvunjika mapenzi/ndoa

Vyanzo 11 vikuu vya kuvunjika mapenzi/ndoa

Aliyeujua utamu wa kufikishwa kileleni hawezi kuvumilia kukaa mwezi mzima bila kufika kileleni, ole wako usafiri, uugue, uchoke, upunguze speed au mkorofishane. Ataingia hapa na pale ikimtafuta nani hodari zaidi kwa kwa kumfikisha kileleni kwa upesi na wepesi.

Hakubali kulala bila kugegedwa, anakuwa teja la kufikishwa kileleni, peke yako hutamuweza asilani. Siku ukisema umechota kumgegeda yeye atadhani muongo umegegeda nje na yeye atatafuta mbadala hata kama ni rafiki yako au shemela wake.
Si kweli hayo uyasemayo ni ya kufikirika. Haya mambo naongea kwa uzoefu na si assumptions.
 
Mkuu wako wanawake ambao hata siku moja hajawahi kufika kileleni kwa miaka yake yote ya ndoa, na wala hajui kilele ni nini. Anaedai kufikishwa kileleni ujue ameonjaonja nyingi sana. Sex ni kwaajili ya kuzaa tu basi, sio ya starehe. Kufika kileleni ni muhimu sana kwa mwanaume ili kuzaa lakini sio muhimu kwa mwanamke.

Habari mbaya kwako ni kwamba kama ukizoea kumfikisha mpenzi wako kileleni kila wakati kila siku, uwezekano wa mkeo huyo kutembea na watu wengine wengi ni mkubwa sana. Ndiyo maana wazee wetu walibuni mpango kabambe wa kutowafikisha wake zao kileleni kwa kuwakeketa.
Unadhani wakikeketwa ndo hawafiki kileleni? Sio kweli
 
Unadhani wakikeketwa ndo hawafiki kileleni? Sio kweli
Wakutane na mjuzi ndio wawe hivyo sio kimchezomchezo, na wakikutana na mume wa hivyo hawamuachi ng'o hata kama awe mume wa mtu.
 
Mkuu usihangaike kufanya utafiti mwingine, wazee walishafanya utafiti miaka miiingi iliyopita na wakaja na solution hiyo ya kukeketa tu basi. Fanya utafiti uone kiwango cha uzinzi na ndoa nyingi kuvunjika kati ya makabila yanayokeketa wanawake wao na yale yasiyokeketa wanawake wao, utaona ni kwa nini babu zetu walisisitiza ukeketaji kabla ya mtu kuolewa. Mfano, kakabila yasiyokeketa wanawake wao Tanzania ni makabila ya Pwani kama Wazigua, Wazaramo, Wakwere, Wamakonde, Wamatumbi, Wayao, Wapogoro, Warungulu, warangi, na makabila yanayokeketa ni pamoja na Wameru, Wachagga (kidogo kwa siku hizi), Wamasai, Wagogo, Wambulu, Wakurya, wanyaturu. Wewe unadhani uzinzi na ndoa zinavunjika zaidi kwenye kundi lipi hapo?
Makabila yanayokeketa ndio yanaongoza kwa uzinzi. Amini nakwambia ukiondoa hao wakurya.
 
Manage expectations, ndoa sio issue serious wala mpenz wako wala sio mpenz, ni just mtu tu mmekutana na kukubaliana mzeeke pamoja. Usimuexpect sana mwenzako, atakufisappoint sana afu utamwacha utatafta mtu mwingine nae tena hata meet expectation zako
 
Mkuu usihangaike kufanya utafiti mwingine, wazee walishafanya utafiti miaka miiingi iliyopita na wakaja na solution hiyo ya kukeketa tu basi. Fanya utafiti uone kiwango cha uzinzi na ndoa nyingi kuvunjika kati ya makabila yanayokeketa wanawake wao na yale yasiyokeketa wanawake wao, utaona ni kwa nini babu zetu walisisitiza ukeketaji kabla ya mtu kuolewa. Mfano, kakabila yasiyokeketa wanawake wao Tanzania ni makabila ya Pwani kama Wazigua, Wazaramo, Wakwere, Wamakonde, Wamatumbi, Wayao, Wapogoro, Warungulu, warangi, na makabila yanayokeketa ni pamoja na Wameru, Wachagga (kidogo kwa siku hizi), Wamasai, Wagogo, Wambulu, Wakurya, wanyaturu. Wewe unadhani uzinzi na ndoa zinavunjika zaidi kwenye kundi lipi hapo?
Utafutwe na serikali wewe kwa kushabikia mila zinazomdhalilisha mwanamke na kumhatarishia maisha. Unajitutumua humu kama unaongea vitu vya maana kweli
 
mapenzi hoyeeeeeeeeeeeeee
mapenzi ya ajabu sana unayaanzisha mwenyewe then yanakutesha wewe mwanzilishi, ni sawasawa na kufuga mbwa anayekufukuza home kwako, ama kweli kuna sababu lukuki za kuwa kama mtume paulo
 
Mkuu wako wanawake ambao hata siku moja hajawahi kufika kileleni kwa miaka yake yote ya ndoa, na wala hajui kilele ni nini. Anaedai kufikishwa kileleni ujue ameonjaonja nyingi sana. Sex ni kwaajili ya kuzaa tu basi, sio ya starehe. Kufika kileleni ni muhimu sana kwa mwanaume ili kuzaa lakini sio muhimu kwa mwanamke.

Habari mbaya kwako ni kwamba kama ukizoea kumfikisha mpenzi wako kileleni kila wakati kila siku, uwezekano wa mkeo huyo kutembea na watu wengine wengi ni mkubwa sana. Ndiyo maana wazee wetu walibuni mpango kabambe wa kutowafikisha wake zao kileleni kwa kuwakeketa.
Roho mbaya inakusumbua!

Alieumba hicho unachotaka kikeketwe wewe umemzidi akili?

Ingekua sex kwa ajili ya kuzaaa tu basi tungekuwa kama wanyama! Hampandi jike mpaka apate joto!
Lakini binadamu kila anapohisi hamu anahitaji sex!

Sex na kufika kileleni ni faraja,ni tiba ya magonjwa mengi! Asiefikishwa kileleni anasumu nyingi ndani ya mwili wake ambazo humtafuna bila kujijua!
Ni watu wenye visirani ,wakali kwa watoto, wagomvi,utendaji hafifu makazini, mahusinao mabaya kazini na hata maamuzi yao ni mkanganyiko!

Akili hizi za mababu unazowaza wewe ndio chanzo na chimbuko la madildo na michepuko!
Kwako mke ni kiwanda cha watoto na mzalisha Mali? Looooh!

Hata waliokeketwa wanafika kileleni ila huchukua mda mrefu!

Acha fikra chafu ,wapeni raha wake zenu kama nyinyi mnavyotaka iyo raha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom