Vyanzo 11 vikuu vya kuvunjika mapenzi/ndoa

Vyanzo 11 vikuu vya kuvunjika mapenzi/ndoa

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
17,124
Reaction score
16,843
Yafuatayo yanaongoza kusababisha mapenzi na ndoa kulegalega na kufa:

1. Mpenzi kuombaomba vitu (pesa, msaada, vitu) kila wakati kwa mpenzi asiyekuwa na kipato au mwenye malengo ambayo hayajatimia.

2. Kuzaa bila ndoa

3. Kuzaa watoto wengi bila kipato kuongezeka.

4. Mpenzi kusafirisafiri (kikazi, kimasomo, kifamilia) kila wakati

5. Kusema uwongo kwenye mapenzi.

6. Kutotimiza ahadi zako unazomuadi mpenzi wako.

7. Kufumaniwa

8. Uchafu (mwili, mazingira) uliokithri

9. Nduguzo kuwa tegemezi kwa shemeji yao

10. Kuugua magonjwa ya kudumu (chronic diseases)

11. Ndoa za utotoni.
 
Sababu kubwa ya mahusiano kuvunjika ni MAWASILIANO mabovu.
Mawasiliano ni idara pana sana.
-unavyoongea na mwenza wako,
-body language,
-unavyoreact kwa afanyayo,
-unavyoshea nae yaliyopo moyoni mwako,
-Usimweke mwenza wako ktk position ya kuanza kuhisi unamaanisha nini, ongea nae kwa maneno,
-etc.
 
sawa mkuu ila umeacha 12.kutomfikisha kileleni
Mkuu wako wanawake ambao hata siku moja hajawahi kufika kileleni kwa miaka yake yote ya ndoa, na wala hajui kilele ni nini. Anaedai kufikishwa kileleni ujue ameonjaonja nyingi sana. Sex ni kwaajili ya kuzaa tu basi, sio ya starehe. Kufika kileleni ni muhimu sana kwa mwanaume ili kuzaa lakini sio muhimu kwa mwanamke.

Habari mbaya kwako ni kwamba kama ukizoea kumfikisha mpenzi wako kileleni kila wakati kila siku, uwezekano wa mkeo huyo kutembea na watu wengine wengi ni mkubwa sana. Ndiyo maana wazee wetu walibuni mpango kabambe wa kutowafikisha wake zao kileleni kwa kuwakeketa.
 
hapo hakuna sababu kuu, ukiolewa au kuoa utajua
 
12 .....Whether unapesa na unampa Sana ila km kwa Bed unazengua ,Yasipovunjika basi utagongewa tu.
 
Mkuu wako wanawake ambao hata siku moja hajawahi kufika kileleni kwa miaka yake yote ya ndoa, na wala hajui kilele ni nini. Anaedai kufikishwa kileleni ujue ameonjaonja nyingi sana. Sex ni kwaajili ya kuzaa tu basi, sio ya starehe. Kufika kileleni ni muhimu sana kwa mwanaume ili kuzaa lakini sio muhimu kwa mwanamke.

Habari mbaya kwako ni kwamba kama ukizoea kumfikisha mpenzi wako kileleni kila wakati kila siku, uwezekano wa mkeo huyo kutembea na watu wengine wengi ni mkubwa sana. Ndiyo maana wazee wetu walibuni mpango kabambe wa kutowafikisha wake zao kileleni kwa kuwakeketa.
aisee noma sana!
ngoja nifanyie utafiti maneno yako
 
aisee noma sana!
ngoja nifanyie utafiti maneno yako
Mkuu usihangaike kufanya utafiti mwingine, wazee walishafanya utafiti miaka miiingi iliyopita na wakaja na solution hiyo ya kukeketa tu basi. Fanya utafiti uone kiwango cha uzinzi na ndoa nyingi kuvunjika kati ya makabila yanayokeketa wanawake wao na yale yasiyokeketa wanawake wao, utaona ni kwa nini babu zetu walisisitiza ukeketaji kabla ya mtu kuolewa. Mfano, kakabila yasiyokeketa wanawake wao Tanzania ni makabila ya Pwani kama Wazigua, Wazaramo, Wakwere, Wamakonde, Wamatumbi, Wayao, Wapogoro, Warungulu, warangi, na makabila yanayokeketa ni pamoja na Wameru, Wachagga (kidogo kwa siku hizi), Wamasai, Wagogo, Wambulu, Wakurya, wanyaturu. Wewe unadhani uzinzi na ndoa zinavunjika zaidi kwenye kundi lipi hapo?
 
Masimango,gubu,choyo,ulafi,majivuno,upungufu wa nguvu za kiume na kike,kutokuawa na misimamo(upo kama bendera),kuchelewa kufika kileleni(hahaha)etc.....
 
Yanii toaa vyote hivyoo wekaa Pesaaaaaa... kama huna helaa tuliaa tu
Babu zetu hawana pesa lakini wanadunda kwa ugali na mlenda miaka nenda rudi, sema lingine
 
Mkuu wako wanawake ambao hata siku moja hajawahi kufika kileleni kwa miaka yake yote ya ndoa, na wala hajui kilele ni nini. Anaedai kufikishwa kileleni ujue ameonjaonja nyingi sana. Sex ni kwaajili ya kuzaa tu basi, sio ya starehe. Kufika kileleni ni muhimu sana kwa mwanaume ili kuzaa lakini sio muhimu kwa mwanamke.

Habari mbaya kwako ni kwamba kama ukizoea kumfikisha mpenzi wako kileleni kila wakati kila siku, uwezekano wa mkeo huyo kutembea na watu wengine wengi ni mkubwa sana. Ndiyo maana wazee wetu walibuni mpango kabambe wa kutowafikisha wake zao kileleni kwa kuwakeketa.
Si kweli anayefikishwa kileleni ameonja nyingi. Kuna wanawake wamebikiriwa na baadae kufikishwa na huyo huyo mwanaume.
 
Si kweli anayefikishwa kileleni ameonja nyingi. Kuna wanawake wamebikiriwa na baadae kufikishwa na huyo huyo mwanaume.
Aliyeujua utamu wa kufikishwa kileleni hawezi kuvumilia kukaa mwezi mzima bila kufika kileleni, ole wako usafiri, uugue, uchoke, upunguze speed au mkorofishane. Ataingia hapa na pale ikimtafuta nani hodari zaidi kwa kwa kumfikisha kileleni kwa upesi na wepesi.

Hakubali kulala bila kugegedwa, anakuwa teja la kufikishwa kileleni, peke yako hutamuweza asilani. Siku ukisema umechota kumgegeda yeye atadhani muongo umegegeda nje na yeye atatafuta mbadala hata kama ni rafiki yako au shemela wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom