Vyama vya wafanyakazi ni makada wa CCM? Mbona mko kimya kwenye mafao mtu alipwe 25% baada ya miaka 60 ila mbunge analipwa 100%?

Ivi vyama vya wafanyakazi havina tofauti na wabunge wa ccm kwa sababu sheria inatungwa na ccm.na inapitishwa na ccm.

Hapa hata wapinzani wagalegale bungeni wengi watapitisha baada ya kugundua hakuna hela ishaliwa na serikali ya ccm.

Mifuko karibuni yote kuna mashimo baada ya kuikopesha serikali na serikali hailipi pesa kwa wakati ni serikali ya mikopo na madeni.

Kwa ufupi PPF ishajifia, Pspf ilikuwa inaelekea ICU, lapf ilibaki kidogo kuelekea huko pia na mwenzake NSSF ndio alibaki kidogo anapumua.

Kuona ivyo wakaanza hakuna fao la kujitoa wameenda weee wakagundua sio suluhu ya matatizo yao kwa sababu hawana hela za kurejesha hata wakikaa hadi miaka 55 au 60 hawataweza kuwalipa watumishi.

La maana wakaona kwanza wapunguze mafao mbali mbali kama ya afya, uzazi nk kwa mchangiaji.

Then wakaona wakikupa 100% ya mafao watafilisika maana serikali hailipi madeni wakaona waje na sheria ya kutoa 25% ili wabaki na 3/4 ya mafao wakulipe waonavyo wenyewe yaani hela ulikuwa unakatwa kwa ziaidi ya miaka 30 bado hawakupi yote na kukaa nayo wao.

Yaani sawa benki wakukopeshe ukae nayo miaka 30 na wewe unaamua namna ya kurejesha utakavyo.

Haya maviongozi ya wafanyakazi ni makada ya ccm ndio maana huyasikii yakisema lolote maana bwana mkubwa wao kawaweka kutimiza matakwa yake.

Wangekuwa ni kinyume chake ungeshasikia wanahitwa kuhojiwa ila kwa kuwa nao wanasubiri uteuzi huwezi wasikia.

Kuna haja ya kujitoa kwenye vyama vya wafanyakazi kila mmoja ajifie kivyake.

Ila CCM NI MUUWAJI
Unawapa neno ma agent wa ibilisi mkuu
 
Ivi vyama vya wafanyakazi havina tofauti na wabunge wa ccm kwa sababu sheria inatungwa na ccm.na inapitishwa na ccm.

Hapa hata wapinzani wagalegale bungeni wengi watapitisha baada ya kugundua hakuna hela ishaliwa na serikali ya ccm.

Mifuko karibuni yote kuna mashimo baada ya kuikopesha serikali na serikali hailipi pesa kwa wakati ni serikali ya mikopo na madeni.

Kwa ufupi PPF ishajifia, Pspf ilikuwa inaelekea ICU, lapf ilibaki kidogo kuelekea huko pia na mwenzake NSSF ndio alibaki kidogo anapumua.

Kuona ivyo wakaanza hakuna fao la kujitoa wameenda weee wakagundua sio suluhu ya matatizo yao kwa sababu hawana hela za kurejesha hata wakikaa hadi miaka 55 au 60 hawataweza kuwalipa watumishi.

La maana wakaona kwanza wapunguze mafao mbali mbali kama ya afya, uzazi nk kwa mchangiaji.

Then wakaona wakikupa 100% ya mafao watafilisika maana serikali hailipi madeni wakaona waje na sheria ya kutoa 25% ili wabaki na 3/4 ya mafao wakulipe waonavyo wenyewe yaani hela ulikuwa unakatwa kwa ziaidi ya miaka 30 bado hawakupi yote na kukaa nayo wao.

Yaani sawa benki wakukopeshe ukae nayo miaka 30 na wewe unaamua namna ya kurejesha utakavyo.

Haya maviongozi ya wafanyakazi ni makada ya ccm ndio maana huyasikii yakisema lolote maana bwana mkubwa wao kawaweka kutimiza matakwa yake.

Wangekuwa ni kinyume chake ungeshasikia wanahitwa kuhojiwa ila kwa kuwa nao wanasubiri uteuzi huwezi wasikia.

Kuna haja ya kujitoa kwenye vyama vya wafanyakazi kila mmoja ajifie kivyake.

Ila CCM NI MUUWAJI

Wabunge nao hulipwa pensheni kila mwezi baada ya kustaafu ubunge?
 
hapa kumsubili Mungu atende jambo kwaajili ya hawa matapeli ni kumjazia tu Mungu kazi za kufanya.
Bora kumjazia Mungu kazi za kufanya kwa kuwa sijawahi kusikia akitangaza atamvunja kiuno yeye na shangazi zake atayemjazia kazi.
 
Hakika nimefadhaishwa sana na wale wote walioshiriki kuandaa sheria za udhurumati kwa wazee hawa masikiti utadhani wao sio watumishi na waastaafu wa kesho.Bado lawama zangu nazielekeza kwa Wabunge wetu ambao wameupitisha mswaada mbovu kama huu.Mungu anawaona hakika.
Waliopitisha ni Wabunge wa CCM mkuu,wa upinzani wamepinga sana huo muswada sema uchache wao ndio tatizo....Bila IMF na WORLD BANK kuingilia kati tutaumia sana kwa utawala huu wa JIWE.
 
Sisemi kuwa sheria mpya ni mbaya ila kilicho kibaya ni kufanya maamuzi bila kumpa mwenye mali (wanachama wa mifuko ya jamii) nafasi na haki ya kufanya maamuzi juu ya mali yao!!!!
Hata kama wewe hausemi, sisi wengine tunasema hiyo ni sheria mbaya kwa ajili kudhulumu watu. Sheria kandamizi iliyoandikwa na mafisi.
 
Wafanyakazi wa Tanzania nao wamekaa Kimya as if hawaoni sheria hii kandamizi. Wafanyakzi unganeni kukemea sharia hii, sambazianeni msg kama hizo kwa kila mtu ili waovu wafahamike
 
Hayo maTUCTA mtayaona na kuyasikia siku ya Mei mosi tu, siku hiyo ndio huwa yanajitutumua kutoa hotuba ndefu za kipopoma. Sijui nani aliwaambia kazi za vyama vya wafanyakazi ni kutoa hotuba. Hii mifuko ya pensheni imefilisiwa na serikali na hii sheria imetungwa kufunika huu uovu na kuumiza watu. Sijui tumeyakosea nini haya majitu.
 
Ivi vyama vya wafanyakazi havina tofauti na wabunge wa ccm kwa sababu sheria inatungwa na ccm.na inapitishwa na ccm.

Hapa hata wapinzani wagalegale bungeni wengi watapitisha baada ya kugundua hakuna hela ishaliwa na serikali ya ccm.

Mifuko karibuni yote kuna mashimo baada ya kuikopesha serikali na serikali hailipi pesa kwa wakati ni serikali ya mikopo na madeni.

Kwa ufupi PPF ishajifia, Pspf ilikuwa inaelekea ICU, lapf ilibaki kidogo kuelekea huko pia na mwenzake NSSF ndio alibaki kidogo anapumua.

Kuona ivyo wakaanza hakuna fao la kujitoa wameenda weee wakagundua sio suluhu ya matatizo yao kwa sababu hawana hela za kurejesha hata wakikaa hadi miaka 55 au 60 hawataweza kuwalipa watumishi.

La maana wakaona kwanza wapunguze mafao mbali mbali kama ya afya, uzazi nk kwa mchangiaji.

Then wakaona wakikupa 100% ya mafao watafilisika maana serikali hailipi madeni wakaona waje na sheria ya kutoa 25% ili wabaki na 3/4 ya mafao wakulipe waonavyo wenyewe yaani hela ulikuwa unakatwa kwa ziaidi ya miaka 30 bado hawakupi yote na kukaa nayo wao.

Yaani sawa benki wakukopeshe ukae nayo miaka 30 na wewe unaamua namna ya kurejesha utakavyo.

Haya maviongozi ya wafanyakazi ni makada ya ccm ndio maana huyasikii yakisema lolote maana bwana mkubwa wao kawaweka kutimiza matakwa yake.

Wangekuwa ni kinyume chake ungeshasikia wanahitwa kuhojiwa ila kwa kuwa nao wanasubiri uteuzi huwezi wasikia.

Kuna haja ya kujitoa kwenye vyama vya wafanyakazi kila mmoja ajifie kivyake.

Ila CCM NI MUUWAJI
Vyama vya wafanyakazi ni hiari. Kama umejiunga na unawalipa kila mwezi ni upu.mbav.u wako maana wanatetea maslahi ya matumbo yao
 
Bora kumjazia Mungu kazi za kufanya kwa kuwa sijawahi kusikia akitangaza atamvunja kiuno yeye na shangazi zake atayemjazia kazi.
watumishi wa uma wanaogopa kuvunjwa viuno kupigania haki yao, tuliowapa dhamana wakatutetee bungeni kupitia upinzani wamegeuka maselfish wa kutaman madaraka, na ALIE JUU anaakili sana akiona kasi ya wanaojihudhuru na kumuunga mkono juhudi inapungua anasacrifice cheo either udc, rc au uwaziri kabisa kwa mpinzan alietangaza kuunga mkono juhudi, hii inawatoa kabisa akili wabunge wapinzani na hata wa chama tawala hawajui waegemee wapi wote wanawaza uteuzi tu ndiomaana hata jambo la kusema no wanasema yes.
 
Ccm oyeeeee! Mliipenda wenyewe, mlichagua wenyewe
Ivi vyama vya wafanyakazi havina tofauti na wabunge wa ccm kwa sababu sheria inatungwa na ccm.na inapitishwa na ccm.

Hapa hata wapinzani wagalegale bungeni wengi watapitisha baada ya kugundua hakuna hela ishaliwa na serikali ya ccm.

Mifuko karibuni yote kuna mashimo baada ya kuikopesha serikali na serikali hailipi pesa kwa wakati ni serikali ya mikopo na madeni.

Kwa ufupi PPF ishajifia, Pspf ilikuwa inaelekea ICU, lapf ilibaki kidogo kuelekea huko pia na mwenzake NSSF ndio alibaki kidogo anapumua.

Kuona ivyo wakaanza hakuna fao la kujitoa wameenda weee wakagundua sio suluhu ya matatizo yao kwa sababu hawana hela za kurejesha hata wakikaa hadi miaka 55 au 60 hawataweza kuwalipa watumishi.

La maana wakaona kwanza wapunguze mafao mbali mbali kama ya afya, uzazi nk kwa mchangiaji.

Then wakaona wakikupa 100% ya mafao watafilisika maana serikali hailipi madeni wakaona waje na sheria ya kutoa 25% ili wabaki na 3/4 ya mafao wakulipe waonavyo wenyewe yaani hela ulikuwa unakatwa kwa ziaidi ya miaka 30 bado hawakupi yote na kukaa nayo wao.

Yaani sawa benki wakukopeshe ukae nayo miaka 30 na wewe unaamua namna ya kurejesha utakavyo.

Haya maviongozi ya wafanyakazi ni makada ya ccm ndio maana huyasikii yakisema lolote maana bwana mkubwa wao kawaweka kutimiza matakwa yake.

Wangekuwa ni kinyume chake ungeshasikia wanahitwa kuhojiwa ila kwa kuwa nao wanasubiri uteuzi huwezi wasikia.

Kuna haja ya kujitoa kwenye vyama vya wafanyakazi kila mmoja ajifie kivyake.

Ila CCM NI MUUWAJI
 
Back
Top Bottom