PreGE2025 Vyama vya Siasa vyenye nia ya kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi, Aprili 12, 2025

PreGE2025 Vyama vya Siasa vyenye nia ya kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi, Aprili 12, 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
3,177
Reaction score
7,472
Tarehe 12, April, 2025 Ofisi ya Msajili inataka vyama vyote vyenye nia ya kushiriki Uchaguzi Mkuu mwaka huu kwenda kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi, na kutosaini kanuni hizo kwa mujibu wa Kifungu cha 162 cha Sheria ya Uchaguzi za 2024 ni kosa la kuondolewa moja kwa moja kwa chama kushiriki.

Je, CHADEMA watasaini au la?
 
Lissu anatanguliza mihemko ya siasa za college. Akiona JF na twitter anapata comments za kusifia utoto wake basi ndio kama kichaa akipewa rungu kinachotokea. Busara ni kitu akujaliwa kuwa nacho, nafasi ya uenyekiti imemzidi size.

Haya sasa kaletewa kanuni za uchaguzi ambazo hazijafanyiwa reform anasaini au hatosaini tupime kujifanya ana misimamo?
 
waende kimkakati wangesaini mengine yaendelee. wasikose vyote,serikali imewakalia vibaya na inatumia akili kubwa kuliko wanavyofikiria wao. it is always ahead. kuna mitego mingi.
 
Chini ya Lisu wanaweza wasisaini, lisu nadhani ubongo wake una shida. Changamoto ya afya ya akili ishamuathiri sana sasa kuna nyumbu wanamfuata machinjioni wameinamisha vichwa chini hawajui hata yanayoendelea na madhara yanayoweza kukuta Chama chao
 
Tarehe 12, April, 2025 Ofisi ya Msajili inataka vyama vyote vyenye nia ya kushiriki Uchaguzi Mkuu mwaka huu kwenda kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi, na kutosaini kanuni hizo kwa mujibu wa Kifungu cha 162 cha Sheria ya Uchaguzi za 2024 ni kosa la kuondolewa moja kwa moja kwa chama kushiriki.

Je, CHADEMA watasaini au la?
Chadema hawajasema kuwa hawatashiriki uchaguzi hivyo watasaini huku wakiendelea na kampeni yao ya kushinikiza mabadiliko ya mifumo ya uchaguzi ili uwepo uchaguzi huru na wa haki.
 
Chini ya Lisu wanaweza wasisaini, lisu nadhani ubongo wake una shida. Changamoto ya afya ya akili ishamuathiri sana sasa kuna nyumbu wanamfuata machinjioni wameinamisha vichwa chini hawajui hata yanayoendelea na madhara yanayoweza kukuta Chama chao
Huna akili
 
Mtego mkali sana huu wa kuiua Agenda ya No reforms, No election.
Naamini watasaini na watashiriki uchaguzi
 
Tarehe 12, April, 2025 Ofisi ya Msajili inataka vyama vyote vyenye nia ya kushiriki Uchaguzi Mkuu mwaka huu kwenda kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi, na kutosaini kanuni hizo kwa mujibu wa Kifungu cha 162 cha Sheria ya Uchaguzi za 2024 ni kosa la kuondolewa moja kwa moja kwa chama kushiriki.

Je, CHADEMA watasaini au la?
Tanzagiza hakuna uchaguzi kuna uchafuzi.Kushiriki kinachoitwa uchaguzi ni kuhalalisha uchafuzi.
 
Tarehe 12, April, 2025 Ofisi ya Msajili inataka vyama vyote vyenye nia ya kushiriki Uchaguzi Mkuu mwaka huu kwenda kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi, na kutosaini kanuni hizo kwa mujibu wa Kifungu cha 162 cha Sheria ya Uchaguzi za 2024 ni kosa la kuondolewa moja kwa moja kwa chama kushiriki.

Je, CHADEMA watasaini au la?

..ningekuwa mimi ndio mwenyekiti wa Chadema nisingesaini.
 
Mtego mkali sana huu wa kuiua Agenda ya No reforms, No election.
Naamini watasaini na watashiriki uchaguzi
Aliyekuambia Chadema haitashiriki uchaguzi ni nani?

Kinachopiganiwa na Chadema ni kuwepo na mabadiliko ya msingi na muhimu kwenye kanuni/sheria za huo uchaguzi. Na yasipofanyika hayo mabadiliko, ndiyo sasa no reform, no election itaanzia hapo kufanya kazi.
 
Aliyekuambia Chadema haitashiriki uchaguzi ni nani?

Kinachopiganiwa na Chadema ni kuwepo na mabadiliko ya msingi na muhimu kwenye kanuni/sheria za huo uchaguzi. Na yasipofanyika hayo mabadiliko, ndiyo sasa no reform, no election itaanzia hapo kufanya kazi.

..Chadema hawapaswi kusaini bila mabadiliko kuwa yamefanyika.
 
Lissu anatanguliza mihemko ya siasa za college. Akiona JF na twitter anapata comments za kusifia utoto wake basi ndio kama kichaa akipewa rungu kinachotokea. Busara ni kitu akujaliwa kuwa nacho, nafasi ya uenyekiti imemzidi size.
Mambo ya dhulma unataka zitumike busara, akili za wapi hizi
 
Chini ya Lisu wanaweza wasisaini, lisu nadhani ubongo wake una shida. Changamoto ya afya ya akili ishamuathiri sana sasa kuna nyumbu wanamfuata machinjioni wameinamisha vichwa chini hawajui hata yanayoendelea na madhara yanayoweza kukuta Chama chao
Wewe mwanaccm ya chadema yanakuumiza.
 
Mtego mkali sana huu wa kuiua Agenda ya No reforms, No election.
Naamini watasaini na watashiriki uchaguzi
Kha! Sasa huo ni mtego gani, kwani wapi wamesema hawatoshiriki uchaguzi, acheni mihemko.
 
Tarehe 12, April, 2025 Ofisi ya Msajili inataka vyama vyote vyenye nia ya kushiriki Uchaguzi Mkuu mwaka huu kwenda kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi, na kutosaini kanuni hizo kwa mujibu wa Kifungu cha 162 cha Sheria ya Uchaguzi za 2024 ni kosa la kuondolewa moja kwa moja kwa chama kushiriki.

Je, CHADEMA watasaini au la?
Mtu keshatundikiwa kitanzi atachagua mwenyewe aingie au akimbie mazima. Pamoja na mapungufu yao mengi, CCM kuna move hua wanazifanya na unagundua wana watu flani hivi wanatumia akili. Yaani hapo Tume wameamshwa mapema mapema walete kanuni ili wazee wa no election wajikanyage 🤭🤭🤭
 
Kiburi Cha Lissu na genge lake halitoenda kusaini
Tarehe 12, April, 2025 Ofisi ya Msajili inataka vyama vyote vyenye nia ya kushiriki Uchaguzi Mkuu mwaka huu kwenda kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi, na kutosaini kanuni hizo kwa mujibu wa Kifungu cha 162 cha Sheria ya Uchaguzi za 2024 ni kosa la kuondolewa moja kwa moja kwa chama kushiriki.

Je, CHADEMA watasaini au la?
 
Kha! Sasa huo ni mtego gani, kwani wapi wamesema hawatoshiriki uchaguzi, acheni mihemko.
Naomba basi tafsiri ya No Election mkuu wangu, usichukie basi boss
 
Back
Top Bottom