Chakaza
Platinum Member
- Mar 10, 2007
- 41,009
- 74,643
"Kila mtu afanye mkutano wa siasa sehemu aliyochaguliwa" by JPM
bwana mkubwa ana kauli tata kweli! Ina maana vile vyama ambavyo havina wabunge nchini ndio anavifuta? Kwa sheria gani? Au sehemu iliyochaguliwa CCM vyama vingine vitajijengaje bila mikutano ya kujitangaza?
Anachotaka kutuambia mahali kama Arusha mjini CCM wafunge kabisa ofisi zao maana hawakuchaguliwa na hawawezi kufanya mikutano kwa amri ya mkuu? Nadhani ni wakati wa kuwajua kwa uwazi kabisa majina ya washauri wa Siasa na Uchumi wa Rais maana yaweza kuwa wanampotosha ili aharibikiwe.
Yaweza kuwa anamshauri wa siasa mwana UKAWA hivyo anampoteza ili aharibikiwe na kudharauliwa kama sasa.
bwana mkubwa ana kauli tata kweli! Ina maana vile vyama ambavyo havina wabunge nchini ndio anavifuta? Kwa sheria gani? Au sehemu iliyochaguliwa CCM vyama vingine vitajijengaje bila mikutano ya kujitangaza?
Anachotaka kutuambia mahali kama Arusha mjini CCM wafunge kabisa ofisi zao maana hawakuchaguliwa na hawawezi kufanya mikutano kwa amri ya mkuu? Nadhani ni wakati wa kuwajua kwa uwazi kabisa majina ya washauri wa Siasa na Uchumi wa Rais maana yaweza kuwa wanampotosha ili aharibikiwe.
Yaweza kuwa anamshauri wa siasa mwana UKAWA hivyo anampoteza ili aharibikiwe na kudharauliwa kama sasa.