CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
sI KWELI MAANA INAONEKANA KILA CHAKULA KIPO!!!
sI KWELI MAANA INAONEKANA KILA CHAKULA KIPO!!!
tumezid kuongelea ngono/tendo la ndoa, tuongelee na mungu..
Sasa hapo na wewe unakosea step kama huna hamu na vyakula vya kutia nyege ulingia vipi humu, mana thread hii inongelea vitu vya kutia nyege.jiheshimu kaka.
Duh! Hadi chokoleti. Nitaongeza bidii ya kula.
Aisee mi soya ndo chakula yangu ya uji na karanga huwa nakula kila siku tangawizi ndo kinywaji changu mbona nina raha miye
tumezid kuongelea ngono/tendo la ndoa, tuongelee na mungu..
duu hadi pilipili ngoja niongeze kipimo kheeee...
Sasa hapo na wewe unakosea step kama huna hamu na vyakula vya kutia nyege ulingia vipi humu, mana thread hii inongelea vitu vya kutia nyege.
Wewe ukabisha kama chocklate haitii nyege ni kitu amabacho si cha kweli...Imeisha julikana dunia nzima kwamba chocklate inazidisha nyege haswa kwa wanawake.
Ndo mana wanawake wengi wenye kula chocklate wanapenda sex, we jaribu uone ndo ubishe.
Afu kwani watu wanao jiheshimu, hawafanyi sex :violin:
Ngoja uoze meno, utakoma lol.
Ukitaka kujua kama wabongo wanaabudia ngono, iangalie post yangu inayofatia baada ya hii.
Gud moning husninyo na shangazi yako kongosho
hahahahah
ofa hyo Husninyo!