Vyakula vinavyokukela

Vyakula vinavyokukela

Kuku toka mdogo mpaka anakua kwa Panadol, Aspini, ARV. Halafu unilishe kirahisi kirahisi tu

Nipo serious,
ahaaa so hupendi kuku wa kisasa ila wa kienyeji unatumia eeh,nilianza kukuonea huruma kama hupendi kuku unakosa utamu ,ila kweli hawa kuku wa kisasa mmh madawa kibao. kuna siku Buguruni nimeona kuku hao wamekaangwa wamevimbaa vipande vyake kama mbuzi akii.na wababa,wakaka, wapo wananunua duuh.
 
Kuna siku home enzi za kusoma soma niliwahi kuropoka kwa house girl "Usipike tena makande " akaenda kusema wee timbwili lake lilikua sio la kitoto!!!
 
1= chips mayai au kavu
2= ugali wa muhogo na mboga ya bamia
3= mtori.
 
Kuna aina flani ya vyakula wengine tunakula tu ili tusife ila ingekuwa amri au uwezo unaruhusu hakika tusingevigusa kabisa,

Kwangu.

1:Ugari kabichi.
1:Ugari tembele.

Vingine vyote kwangu mwake tu natiririka navyo kama Wali Maharage.
Ugali sio Ugari.
 
Nashukuru Mungu mimi hata nikila sumu sikereki.

Asante Mungu kwa kuniumba kutochagua kitu chakula.
 
Ni vile vyenye herufi "L" na "R" huwa nachanganya kabisa.

Mfano UGARI,WARI, MAHALAGE
 
Sometimes hivi vyakula tunavilaumu, lakini kumbe ni mapishi tu. Binafsi, nilikuwa nilikuwa nawa-hate, sana dagaa. Na hata kande. Sasa kuna sehemu nilitembelea nilienjoy sana, nilishindwa kuamini kama ni wale dagaa ambao i used to hate. Niwe muwazi hata kabichi ugali na tembele sipendelei. Hahahahaha!
 
Kuna aina flani ya vyakula wengine tunakula tu ili tusife ila ingekuwa amri au uwezo unaruhusu hakika tusingevigusa kabisa,

Kwangu.

1:Ugali kabichi.
1:Ugali tembele.

Vingine vyote kwangu mwake tu natiririka navyo kama Wali Maharage.
Vinavyokukela??? Vinavyokukera???
 
Honestly sipendi ndizi za kupikwa..labda zile za kwetu za Muheza zile za kuiva tena zipikwe na Nazi..
 
Kuna aina flani ya vyakula wengine tunakula tu ili tusife ila ingekuwa amri au uwezo unaruhusu hakika tusingevigusa kabisa,

Kwangu.

1:Ugali kabichi.
1:Ugali tembele.

Vingine vyote kwangu mwake tu natiririka navyo kama Wali Maharage.
Mi kuna kitu inaitwa superghet + ugali na mboga za majani yani bora nishinde bila kula!!
 
...kitu cha fireee...motooooo...kiti...moto...na ugali dona...hasa kile cha R-chugaaa...au pale kwa Manka Dodoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom