Vyakula vinavyokukela

Vyakula vinavyokukela

Unasema kweli mkuu au umekuja kutamanisha watu?
Shemeji yenu kwanza muda si mrefu ntampiga chini, maana anajua sipendi kuku wa kuchoma, lakini hasikii kila siku ananiletea tu, ananikera sana dah. Nakazi ya kugawa kwa jirani kila siku, mwisho jirani anahisi namlia mingo kumgegeda, kumbe sina nia hio
20181002_165419.jpg
 
Shemeji yenu kwanza muda si mrefu ntampiga chini, maana anajua sipendi kuku wa kuchoma, lakini hasikii kila siku ananiletea tu. Nakazi ya kugawa kwa jirani kila siku, mwisho jirani anahisi namlia mingo kumgegeda, kumbe sina nia hio View attachment 887610
Aaah aaah mkuu hain noma kama nia ni kutamanishana mungu anakuona
 
Shemeji yenu kwanza muda si mrefu ntampiga chini, maana anajua sipendi kuku wa kuchoma, lakini hasikii kila siku ananiletea tu, ananikera sana dah. Nakazi ya kugawa kwa jirani kila siku, mwisho jirani anahisi namlia mingo kumgegeda, kumbe sina nia hio View attachment 887610
mkuu una makusudi wewe, akikuletea uwe unanipa mimiii ili kuepusha jirani kukuhisi vibaya hahaaa
 
Nasubiri atakaekuja na jibu la kitimoto ya kurost mkuu?
Watakuja tu, hasa wale waliowahi kuamkia kiporo cha wali maharage weekend saa tano asubuhi, halafu wakapigiwa simu mida ya saa saba kua kuna ofa za bia na mdudu wa kurosti/kuchoma.

Sio kuizomea ardhi huko mkuu (kutapika), maana harage kiporo halija digest vizuri tumboni, halafu linakutana na mdudu wa kuchoma/kurosti (kitimoto) ikishushiwa na safari lager (za ofa). Hicho kiporo tena kwa bia za ofa hakijawahi kumwacha mtu salama
 
Mkuu hutaki Tembele, labda Shemeji yetu hajui kupika aisee!!

Ugali tembele (siyo yale ya viazi) yasiive sana niko radhi niwe nakula kila siku ila sio matembele yaliolala.
 
Mkuu hutaki Tembele, labda Shemeji yetu hajui kupika aisee!!

Ugali tembele (siyo yale ya viazi) yasiive sana niko radhi niwe nakula kila siku ila sio matembele yaliolala.
Aaha mkuu tembele kwangu halipandi ata lipikwe vipi ni sawa na kunipa ugari nile na mchuzi usioungwa
 
mkuu una makusudi wewe, akikuletea uwe unanipa mimiii ili kuepusha jirani kukuhisi vibaya hahaaa
Dah sawa mkuu, ntafanya hivyo,

Maana mi ni mtu wa aibu kweli, halafu naishi peke yangu na yeye peke yake, sasa nahofia nsije kupata tatizo usiku wa manane halafu nikamgongea yeye anipe msaada, akahisi ndio siku yangu ya kuomba malipo ya huduma zangu za take away nlizokua nafanya
 
Dah sawa mkuu, ntafanya hivyo,

Maana mi ni mtu wa aibu kweli, halafu naishi peke yangu na yeye peke yake, sasa nahofia nsije kupata tatizo usiku wa manane halafu nikamgongea yeye anipe msaada, akahisi ndio siku yangu ya kuomba malipo ya huduma zangu za take away nlizokua nafanya
mbona kama uko serious hivi wakati mi nahisi unatania, yaani hupendi kuku?? real
 
ndugu yangu kusema kweli hamna chakula kinachonikera maana mchana na sumu tu ndio situmii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom