Vya thamani huifuata thamani uliyonayo

Vya thamani huifuata thamani uliyonayo

Joined
Jan 4, 2021
Posts
5
Reaction score
7
“Ukitaka vitu vya thamani vije kwenye maisha yako hakikisha umeyapa uthamani pia maisha yako, hakikisha una kitu cha thamani ndani yako(una TALANTA, KIPAJI au UJUZI fulani), hauwezi kupata ajira ya mamilioni ya fedha kama hauna ujuzi fulani, uwezo fulani au kipaji fulani kinachojiuza kisoko, narudia tena ukitaka vitu vya thamani vikufuate yape maisha yako uthamani pia”

Email. Jleonard543@gmail.com

Mwl.Joseph Leonard
 
Back
Top Bottom