VVU & Sheria

Jan 2, 2012
12
1
Zingatia ukimwi ulivyoenea na unavyozidi kutafuna nguvu kazi ya Tanzania je, bunge likitunga sheria ya kuwa kila wawili wanaotaka kufunga ndoa wapimwe afya zao juu ya VVU sheria hiyo itakuwa halali? kwa maslahi ya nani?. Na kama haitakuwa halali ni kwa maslahi ya nani?
 
Back
Top Bottom