Vuvuzela!

Mbu

JF-Expert Member
Jan 11, 2007
12,753
7,844
...hata biblia imesema;

"better to live on a corner of the roof than
to share a house with a quarrelsome wife."

Proverbs 25;24

...no wonder wenye mioyo midogo wanawafanya 'jabulani!'
 
ha ha ha ha!
mkuu juzi nilikuwa baa moja hivi nilimkuta jamaa anajustfy theory ya kurudi home late kwa gia ya WELDI-KAPU huku akiwathibitishia jamaa zake kuwa mkewe ni VUVUZELA
 
ha ha ha ha!
mkuu juzi nilikuwa baa moja hivi nilimkuta jamaa anajustfy theory ya kurudi home late kwa gia ya WELDI-KAPU huku akiwathibitishia jamaa zake kuwa mkewe ni VUVUZELA

Imenifurahisha sana! Kuna wanaume nao ni mavuvuzela vile vile.....hata mkulu wetu naye aliposema habari za mbayuwayu na Kibong'ota...ule ni uvuvuzela big tyme
 
Imenifurahisha sana! Kuna wanaume nao ni mavuvuzela vile vile.....hata mkulu wetu naye aliposema habari za mbayuwayu na Kibong'ota...ule ni uvuvuzela big tyme
..he he he he!
mkuu naona umeamua KUFA NA MWENYE NCHI.......
angalia bana
 
Imenifurahisha sana! Kuna wanaume nao ni mavuvuzela vile vile.....hata mkulu wetu naye aliposema habari za mbayuwayu na Kibong'ota...ule ni uvuvuzela big tyme

hata humu JF kuna maVUVUZELA kibao! kuna vuvuzela moja limeingia forum ya JF DOCTOR linalazimisha hata wagonjwa wajadili SIASA hospitali.
 
sasa tukusaidiaje mpwa....?
au ushalewa na wewe?

LOL, kwakweli! ...am talking about annoying habits bana,...wikiendi umejipumzikia nyumbani maza hausi tangu kumepembazuka anatafuta watu shari, analipuliza 'vuvuzela' non-stop!... (anafoka na kunung'unika mfululizo!)
 
hata humu JF kuna maVUVUZELA kibao! kuna vuvuzela moja limeingia forum ya JF DOCTOR linalazimisha hata wagonjwa wajadili SIASA hospitali.

...ha ha ha haaaa!!! duuuuuuuuuuuuh!!! hafai kabisa huyo ziraili mtoa roho za watu!
 
LOL, kwakweli! ...am talking about annoying habits bana,...wikiendi umejipumzikia nyumbani maza hausi tangu kumepembazuka anatafuta watu shari, analipuliza 'vuvuzela' non-stop!... (anafoka na kunung'unika mfululizo!)

Hate thats probably hiyo ilisababisha tabia yangu sungu ya kucheat! lol
 
...hata biblia imesema;



...no wonder wenye mioyo midogo wanawafanya 'jabulani!'

mkuu vuvuzela ni soo... liwe la weldi kapu au hata home!!!! mungua liumba watu pamoja na wenza wao mazee
 
Hapo kwenye bluu maana yake ni nini? asante kwa kunielewesha.

Lilyflower my dear, jabulani means happiness...put in context mpira unotumika huko south umewaletea wengie happiness, ndipo ukabatizwa jabulani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom