Vurugu zatawala CHADEMA Tarime

Vurugu zatawala CHADEMA Tarime

Nidhamu kwani ni nini?

Nidhamu ni kutenda unalopaswa kutenda kwa wakati na kukiweka kila kitu mahali kinapostahili. Ukivalia suruali magotini ni kukosa nidhamu maana inastahili kuwa kiunoni n.k Kama alienda kwenye kikao ambacho yeye si mjumbe hata asingesema na kukaa juu ya meza ni kukosa nidhamu, na kuongea wakati mwingine anaongea ni utovu wa nidahamu n.k
 
Mungu saidia wasipigane, maana huko Tarime ni kichapo tu hakuna mjadala
 
Mleta hoja inawezekana una kitu cha msingi unachotaka kuwajulisha wanajukwaa.Ila kwa muktadha wa kile ulichokiandika tunashindwa kujua uhalisia wa hali ya mahusiano uliopelekea ''vurugu''.Maneno uliyotumia kama vile vurugu,malumbano,kuchachamaa,na kutoelewana hayaakisi kile ulicholenga kuwajulisha wanajukwaa!
 
mwita ni kirusi kwenye chama. hana anacho kijua ispokua ubabe na vurugu!
 
KATIKA hali ya kuonesha dhamira ya wazi ya kutovumiliana leo majira ya saa 8 katika ofisi ya CHADEMA wilaya ya TARIME kumetokea malumbano kati ya viongozi wa wilaya waliokuwa na kikao cha kawaida cha kujadili maswala ya chama na upande wa nduguMWITA WAITARA AFISA SERA NA UTAFITI CHADEMA MAKAO MAKUU

KIINI CHA MALUMBANO ILIKUWA
ni ndugu WAITARA kuingia katika kikao huku kikiwa kinaendelea na kuhoji uhalali wa kikao hicho kutoongozwa na mwenyekiti aliyekuwa akikaimu nafasi hiyo ambaye badae alisimamishwa kwa utovu wa nidhamu na kupeleka siri za chama nje ya vikao halali vya chama.

Akiwa anaongea kwa kufoka waitara amewambia viongozi wa wilaya kuwa ametumwa na katibu mkuu kuleta barua na kuhakikisha mwkt anarudi katika nafasi yake jambo ambalo halikukubalika na viongozi baada ya viongozi kuonekana kujenga hoja zao bwana waitara mwita aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo mwaka 2010 aliamua kukaa kwenye meza juu huku akiwa anapiga kelele jambo ambalo lilionekana kuungwa mkono na katibu wa vijana wilaya ndugu hussein abeid na ndugu lucas ngotyo kaimu mwenyekiti wa wilaya aliyedaiwa kusimamishwa na uongozi wa wilaya.

Baadae ikatokea mtafaruku baada ya baadhi ya vijana kuchachamaa wakimtaka ndugu waitara kueleza ni namna gani amekuja kwnye kikao cha kamati tenndaji na wao huku si wajumbe na pia akiwa amelewa?na ni kwa nin i anaamuru watu wake kukaa juu ya meza na kuendelea kutukana viongozi na yeye kama kiongozi wa kitaifa kwa nini astumikekupunguza mgogoro badala yake anauongeza?
mpaka tunaenda mitamboni inasemekana ndugu waitara atakuwa na kikao kingine tena kesho baada ya kusambaratisha hichi cha awali cha viongozi wa wilaya na chake kushindwa kukaa.

Taarifa za uhakika zinasema mpaka usiku saa 4 alikuwa kwenye hotel ya nyam,ete akiwa na vijana wapatao 10 wanaosaidiana kuendesha uasi kwa majadiliano yanmayolenga kuandaa kikao kingine kesho saa 5 kwenye ukumbi wa JJ CLUB na inasemekana kabla ya hapo alikuwa eneo la PROMISE BAA akiwa na kikao kingine pia majira ya saa 1 kamili mpaka saa 2 source ni vijana watiifu walionipigia simu na kushikiana kutoa taarifa hizi.

Ikumbukwe kuwa siku chache zilizopita vijana hawa wanaoambatana na bwana waitara walifunga ofisi kwa mbao na kuweka sealid kitendo kilicholaaniwa sana na wananchi mbalimbali na wanachama na wadau wa chadema
huu utaratibu wa chadema kutuma watu toka makao makuu kùvuruga mipango mikoani kwa maslahi ya viongozi wa makao makuu, yatawatokea puani na ccm itaendelea kupeta kwa madhaifu kama haya!
 
Kama kuna ukweli basi sharti Waitara akae chini atulizwe,kushindwana kwa hoja na kupanda juu ya meza havihusiani.Tubadilike makamanda...charity begins at home!
 
Ndivyo habari ilivyo hakuna anayepondwa.



:nono:Wewe kila thread ya kuponda CHADEMA lazima utachangia,lakini za kuiponda ccm hauchangii hiyo posho ya Lumumba ni kubwa sana inakuweka hapo mjini sio?:yo:
 
Huyu mwenye hii Id ya igwa alianza kuitumia tangu wakati wa uchaguzi wa Bavicha na yeye ametangaza nia ya kugombea tarime kwa hiyo mwenye akili atajuwa yeye ni nani
[/QUOTE]

Na wewe Kashinje Masanja tunakujua kuwa ni Nyakarungu....
 
Sometimes vurugu hutokea ila inategemea na mazingira zilipotokea hizo vurugu,kichama mbona hayo ni mambo ya kawaida sana chamaana basi nikufuata tarartibu na sheria zetu kuyamaliza mapema.
 
Eee muumba tuondolee huu mzoga unaotaka kuchafua amani ya nchi yetu sasa wameshaanza kutwangana wenyewe
 
CCM Tarime yapora eneo la maonyesho ya sabasaba.

Katka hali ya maskitko makubwa chama cha mapinduzi kinaendereza sera yake ya kupora mali za umma bila hata kushirikisha umma.Eneo ambalo lilitengwa na kujengwa mabanda ya maonyesho na serkali kwa ajili skukuu za sabasaba, hivi sasa ccm wamejitwalia eneo hilo kinyemera na kuanza kuuza kwa matajiri,eneo hilo ambalo liko tarime mjini nyuma ya kituo cha radio sachita fm,naomba mawazo yenu kwa maslahi ya wanatarime.
 
Kinacho takiwa hapo ni kwa Nyie kutoa Elimu ya Kutosha na M4C itakuja huko kuwasapoti
 
Back
Top Bottom