Wewe ni muongo tena mnafiki mkubwa na humuogopi Mungu unawezaje kusema kitu ambacho unaamini kwamba ni uongo uwanja wa sabasaba aliyetoa amri ya wavamizi kuondoka ni mwita gachuma Mnec akahidi kutoa pesa za ujenzi wa uwanja huo yeye na marafiki zake na wale wote waliokuwa wamevamia uwanja huo wamekubari kuondoka na majilani wamekubari kuachia sehemu walizomega ili uwanja wa kisasa ujengwa sasa hapa ccm imeingiaje lakini uwanja sabasaba ni mari ya watanzania wote wapenda michezo mbona umetumia neno KURYA huoni kwamba wewe ni mjinga mpenda ukabila kama kilivyo chama chenu nakuomba ukiombe ccm msamaha vingivyo nitakuona wewe ndiyo wale wale waliokunywa uji wa mgonjwa!
Wewe ni muongo tena mnafiki mkubwa na humuogopi Mungu unawezaje kusema kitu ambacho unaamini kwamba ni uongo uwanja wa sabasaba aliyetoa amri ya wavamizi kuondoka ni mwita gachuma Mnec akahidi kutoa pesa za ujenzi wa uwanja huo yeye na marafiki zake na wale wote waliokuwa wamevamia uwanja huo wamekubari kuondoka na majilani wamekubari kuachia sehemu walizomega ili uwanja wa kisasa ujengwa sasa hapa ccm imeingiaje lakini uwanja sabasaba ni mari ya watanzania wote wapenda michezo mbona umetumia neno KURYA huoni kwamba wewe ni mjinga mpenda ukabila kama kilivyo chama chenu nakuomba ukiombe ccm msamaha vingivyo nitakuona wewe ndiyo wale wale waliokunywa uji wa mgonjwa!
Mh.mboe tunakuomba ufke tarime, kwa mgogoro huu hatutabaki salama.
CCM Tarime yapora eneo la maonyesho ya sabasaba.
Katka hali ya maskitko makubwa chama cha mapinduzi kinaendereza sera yake ya kupora mali za umma bila hata kushirikisha umma.Eneo ambalo lilitengwa na kujengwa mabanda ya maonyesho na serkali kwa ajili skukuu za sabasaba, hivi sasa ccm wamejitwalia eneo hilo kinyemera na kuanza kuuza kwa matajiri,eneo hilo ambalo liko tarime mjini nyuma ya kituo cha radio sachita fm,naomba mawazo yenu kwa maslahi ya wanatarime.
Mh.mboe tunakuomba ufke tarime, kwa mgogoro huu hatutabaki salama.
Ama kweli threads zinazoanzishwa usiku mkubwa, nyingi zina utata!
Mh.mboe tunakuomba ufke tarime, kwa mgogoro huu hatutabaki salama.