Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,320
- 33,125
Baadhi ya vijana waliotiwa nguvuni na polisi katika vurugu hizo.
..Vijana hao wakiwa kwenye Difenda tayari kuelekea kituo cha polisi.]
Eneo linalochimbwa kokoto lililosababisha vurugu hizo.
Eneo linalochimbwa kokoto lililosababisha vurugu hizo.
WACHIMBA kokoto eneo la Kigamboni Maweni, leo wamezua vurugu baada ya kufunga barabara na kuchoma mataili kutokana na kuzuiliwa kuendelea kuchimba kokoto eneo hilo wakati wananchi wenye asili ya Kihindi wakiruhusiwa kuchimba. Polisi walilazimika kuingilia kati huku wakitumia mabomu ya machozi ili kutuliza ghasia hizo.
Global Publishers
==========
UPDATE
==========
MziziMkavu! Nashukuru kwa picha za tukio hili. Suala nimelifikisha katika taasisi husika. Natumai hatua za haraka zitachukuliwa katika kuhakikisha wananchi wanapata fursa ya kuuza mizigo yao iliyopo machimboni na pia utaratibu mzuri kuwekwa ili wachimbaji hawa wadogo waendelee kupata kipato cha kujikimu wao na familia zao.
UPDATE: Wananchi wameruhusiwa kuendelea na shughuli zao za uchimbaji kokoto na mchanga katika eneo la Mjimwema.
Attachments
-
WACHIMBAKOKOTO1.JPG61.1 KB · Views: 86
-
WACHIMBAKOKOTO2.JPG51 KB · Views: 96
-
WACHIMBAKOKOTO3.JPG49.2 KB · Views: 77
-
WACHIMBAKOKOTO4.JPG43.9 KB · Views: 487
-
WACHIMBAKOKOTO9.JPG31.6 KB · Views: 85
-
WACHIMBAKOKOTO17.JPG68.3 KB · Views: 91
-
WACHIMBAKOKOTO15.JPG62 KB · Views: 72
-
WACHIMBAKOKOTO14.JPG43.8 KB · Views: 79
-
WACHIMBAKOKOTO13.JPG63.7 KB · Views: 62
-
WACHIMBAKOKOTO12.JPG53.4 KB · Views: 64
-
WACHIMBAKOKOTO10.JPG46.2 KB · Views: 70