Kamanda wa polisi mkoani mwanza amesema kuwa vurugu zilizotokea jijin mwanza ni zao la wanasiasa ambao wamekuwa wakiwashawishi wamachinga wasihame
Sosi:timez fm habari
Siku hizi bana.....!!!..hata vurugu za nyumbani utaambwiwa chanzo ni wanasiasa/chama cha siasa.!!!!...wanaacha kutafuta chanzo wajue njia ya kutatua tatizo wanakimbilia kusema wanasiasa ndio wachochezi...!!!!...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.