Vurugu za Mwanza,chanzo ni Wanasiasa: polisi

Bajabiri

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
9,730
1,201
Kamanda wa polisi mkoani mwanza amesema kuwa vurugu zilizotokea jijin mwanza ni zao la wanasiasa ambao wamekuwa wakiwashawishi wamachinga wasihame
Sosi:timez fm habari
 
Siku hizi bana.....!!!..hata vurugu za nyumbani utaambwiwa chanzo ni wanasiasa/chama cha siasa.!!!!...wanaacha kutafuta chanzo wajue njia ya kutatua tatizo wanakimbilia kusema wanasiasa ndio wachochezi...!!!!...
 
Kwanini hapo nyuma wanasiasa hawakuwashauri machinga walete vurugu? Huyu Siro vipi? yeye akae na machinga wasikilizane aache porojo
 
Leo asbui pia KANDORO ALIHOJIWA NA MAGIC FM KWENYE KIPINDI CHAO CHA MORNING MAGIC AMESEMA HIVOHIVO KASEMA ANA USHAHID KUWA WANASIASA NDIO CHANZO
 
Back
Top Bottom