Je, ni kweli Allah amewaumba binadamu na majini ili wamuabudu?

badison

JF-Expert Member
May 29, 2015
1,450
2,702
Naomba ufafanuzi juu ya dini ya kiisilamu kabla sijachukua hatua ambayo nataka kuichukua. Wanasema uislamu ni dini ya haki na pia muislamu ndugu yake ni muislamu. Kuna majini waislamu ambao ni "majini wazuri " na kuna majini makafiri.

Swali langu ni moja, kuna hadithi moja inasema muislamu ndugu yake ni muislamu sasa kwakuwa kuna majini waislamu kwa mujibu wa quran je ni kweli kwamba waislamu wana undugu na majini ndiyo maana ni rahisi sana muislamu kufuga jini?

Hili swala ni muhimu sana naomba ushauri juu ya hili swala na pia sitaki ushauri wa hasira.
 
wanafuga majini kweli,,kasome "suratul jinn" ALLAH anawaambia waislam,hakika ninyi nyote mtaenda motoni kwani mnawaweka majini kati yangu na ninyi,,na majini yanalalamika kwa kusema kwamba,,,,tunashirikiana na wanadamu ktik kutafuta risk!!!
Hiyo Ni Quran Yako Hakuna Aya Inasema Hivo Au Hujui Kufafanua Unachosoma.Ni Aya Ya Ngap Hyo
 
Viumbe wote vimeumbwa na allah mwingi wa rehema, ikiwemo watu , majini , miti na kadhalika na hakika lengo kubwa wote tunalijua ni kumuabudu yeye mungu mmoja ambae hana mshirika, hakuzaa wala hakuzaliwa
Mimi nikotofauti na hii fikra ambayo pia hapo zamani nlijua ivo kutokana na mapokeo ya kijamii ila kwa siku hizo najuaga Mungu aliumba binadamu ili akatawale dunia na vyote viujazavyo kwa lugha ingine ni kwamba Mungu alitaka kutawala dunia kwa kukaimisha madaraka kwa mwanadamu...nimewakilisha tu
 
Muislam Ndungu Yake Muislam,jini Kwa Jini Mwanadamu Kwa Mwanadamu.Tunaamini Katika Ghaibu Mungu,malaika,majini Hatuoni Ila Tunaamini,kama Majini Ningekuwa Nawaona Bas Hata Mimi Majini Ya Kiislamu Ningeishi Nao Kama Nabii Suleiman
Wapi Nabii Sulemani aliishi na Majini?
Weka Aya

Majini yamelaaniwa na kufukuzwa mbinguni yakitaka kuchungulia Mbinguni yanapigwa na vimondo.
Yenyewe yanakili mwanzoni yalikuwa yanaishi huko.


وَأَنَّا لَمَسْنَا السَّمَاءَ فَوَجَدْنَاهَا مُلِئَتْ حَرَسًا شَدِيدًا وَشُهُبًا

(AL - JINN - 8)
Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo.

وَأَنَّا كُنَّا نَقْعُدُ مِنْهَا مَقَاعِدَ لِلسَّمْعِ ۖ فَمَن يَسْتَمِعِ الْآنَ يَجِدْ لَهُ شِهَابًا رَّصَدًا

(AL - JINN - 9)
Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka kusikiliza atakuta kimondo kinamvizia!

Hapa nani ni mkweli, ni nyinyi mnaoyatetea Majini au Majini yenyewe?
 
Viumbe wote vimeumbwa na allah mwingi wa rehema, ikiwemo watu , majini , miti na kadhalika na hakika lengo kubwa wote tunalijua ni kumuabudu yeye mungu mmoja ambae hana mshirika, hakuzaa wala hakuzaliwa
Mbona hujamtaja shetan
 
Wapi Nabii Sulemani aliishi na Majini?
Weka Aya

Majini yamelaaniwa na kufukuzwa mbinguni yakitaka kuchungulia Mbinguni yanapigwa na vimondo.
Yenyewe yanakili mwanzoni yalikuwa yanaishi huko.


وَأَنَّا لَمَسْنَا السَّمَاءَ فَوَجَدْنَاهَا مُلِئَتْ حَرَسًا شَدِيدًا وَشُهُبًا

(AL - JINN - 8)
Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo.

وَأَنَّا كُنَّا نَقْعُدُ مِنْهَا مَقَاعِدَ لِلسَّمْعِ ۖ فَمَن يَسْتَمِعِ الْآنَ يَجِدْ لَهُ شِهَابًا رَّصَدًا

(AL - JINN - 9)
Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka kusikiliza atakuta kimondo kinamvizia!

Hapa nani ni mkweli, ni nyinyi mnaoyatetea Majini au Majini yenyewe?
Hapa anayeongea ni jini au Allah mana Quran yote ni maneno ya Allah
 
Nini maana ya ndugu?
Ndugu ni mtu mwenye uhusiano na wewe kwa damu (wazazi wenu ni wamoja au mmechangia mzazi mmoja) au ni watu wa familia au ukoo mmoja. Kuna undugu wa imani ambao udugu huu unawafungamamnisha watu wa familia au kabila tofauti kwa imani zao. Jini hawezi kuwa na udugu na mwanadamu hata wakiwa na imani moja, kwani maumbile yao hayafanani, ni sawa kusema kuwa na udugu na nyoka au simba.
Hivi Kaka zako sio ndugu zako ?


Jami` at-Tirmidhi 18

Abdullah bin Mas'ud narrated that :

Allah's Messenger said: "Do not perform Istinja, with dung, nor with bones. For indeed it is provisions for your brothers among the Jinn."


Au ndugu ni dada zako tu ?
Au ni familia tu.
 
Hapa anayeongea ni jini au Allah mana Quran yote ni maneno ya Allah
Yanaongea Majini.

Halafu ukijibu kwa kuweka maandiko husika una ambiwa una chuki na Dini.
Maandiko hayo wameya andika wenyewe.
Ni Kati ya maajabu ya dunia
 
Back
Top Bottom