ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Kisingizio Zhuma Kufungwa imepelekea maelfu ya watu kuvamia maduka na kupora mali,kusababisha uharibifu mkubwa wa mali za watu! Hii ni aibu kubwa sana cjui duniani wanatuchukuluaje sie waafrika.
Afrika kusini ina mchanganyiko wa matabaka tofauti ya watu waafrika,wazungu,wahindi nk lakini cha ajabu hizi video zinazosambaa duniani tunaona kabisa wengi wao kama si wote wanaofanya uporaji ni weusi, hiki kitu kinatujengea taswira mbaya waafrika wote weusi mbele ya uso wa dunia..na ndio kisa maswala ya ubaguzi wa rangi kwa weusi kudhalilishwa huko ulaya hayaishi kwa tabia mfano wa hizi.
Tumeona majuzi wachezaji wa England wenye asili ya afrika wakinyanyapaliwa kwa ule tu weusi wao na asili. Sisi weusi tuna tatizo kubwa aisee wacha tu wazungu watuone wa ajabu.
Mfano mwingine wa tabia za ajabu na kinyama ni kule Nigeria ambapo kila kukicha vikundi vya watu wanateka wanafunzi na kuwapeleka porini na serikali ipo!
Eeh Mungu hebu tusaidie waafrika.sijui nini kifanyike au wangeliona hili wangetafuta tiba.
Afrika kusini ina mchanganyiko wa matabaka tofauti ya watu waafrika,wazungu,wahindi nk lakini cha ajabu hizi video zinazosambaa duniani tunaona kabisa wengi wao kama si wote wanaofanya uporaji ni weusi, hiki kitu kinatujengea taswira mbaya waafrika wote weusi mbele ya uso wa dunia..na ndio kisa maswala ya ubaguzi wa rangi kwa weusi kudhalilishwa huko ulaya hayaishi kwa tabia mfano wa hizi.
Tumeona majuzi wachezaji wa England wenye asili ya afrika wakinyanyapaliwa kwa ule tu weusi wao na asili. Sisi weusi tuna tatizo kubwa aisee wacha tu wazungu watuone wa ajabu.
Mfano mwingine wa tabia za ajabu na kinyama ni kule Nigeria ambapo kila kukicha vikundi vya watu wanateka wanafunzi na kuwapeleka porini na serikali ipo!
Eeh Mungu hebu tusaidie waafrika.sijui nini kifanyike au wangeliona hili wangetafuta tiba.