Vuai: CCM Zanzibar itapinga kwa nguvu serikali 3

Vuai: CCM Zanzibar itapinga kwa nguvu serikali 3

Kwenye swala la Muungano, sera ya CCM inabidi ife kama mtu anayekufa na tai shingoni.

Hata Mwenyekiti wa Taifa wa CCM analifahamu hili na ndiyo maana akawaambia wanachama wajiandae kwa lolote litakalotokea katika mchakato wa Katiba.

Serikali mbili zimeshindwa kuuvusha muungano nje ya kero za muungano na kwa maana hiyo, kinachotakiwa ni serikali tatu ambazo kwa uharisia ni njia kuelekea kuvunjika kwa muungano kwa vile Zanzibar hawawezi kuchangia gharama zake.

Haya matatizo yangemalizwa kama serikali ya CCM ingeruhusu kuwepo kwa kura ya maoni kitaifa kuhusu muungano.

Ninafahamu wabunge wa bunge maalum wanaweza kubadilisha kilichoko kwenye Rasimu hii ya Katiba lakini vile vile wakumbuke kuwa wananchi pia wana sauti yao kupitia kura ya maoni kuhusiana na Rasimu hii ya Katiba.

Njia bado ni ndefu!
 
huyu Vuai musimsikilize ni kada tu wa CCM hana jipya., mshahara wk ni shs laki3 kuhamasisha wanamaskani kule zanzibar.,
 
Naibu katibu Mkuu wa Zanzibar amesema CCM haiko tayari na mfumo wa serekali 3. Amesema hayo Makunduchi jana.swali: kwanini baadhi ya CCM Zanzibar haitaki serekali 3? wao wanaathirika na nini?Jee 61% ya waliotoa maoni. CCM hawamo?

Yule jamaa ni Njaa inampa mashakili sijuwi nini ameahidiwa
 
Tanganyika kwanza, porojo zingine baadae! Tumechoka kuongozwa na kisiwa!
 
Back
Top Bottom