majeshi 1981
JF-Expert Member
- Dec 7, 2013
- 2,090
- 813
Hii Serikali kodi mnakwepa tatu ndo mtatoa. Bila kodi hakuna Serikali. Mashine hizo hamzitaki. Mtaendesha Serikali kwa U cuf U cdm na U ccm. Tazama madeni ya ndani kisha upime kwa namna gani utaendesha hizo Serikali. KN ya majimbo imewazungua wanajuta. Eti 3. Uchumi wa kuaminika huna co mazao wala viwanda. Acheni utani tufufuwe uchumi kwanza Serikali baadaye. Kila unacho nunua Kodi 18%. Wewe unalipa au unataka tu Serikali I!!!!!!!!!!"!"!
tumenyonywa na na wazanzibar kwa muda sasa, na sisi tuwe na serikali yetu, wamelikoroga wenyewe na watalinywa wenyewe pia