Samahani kama ntakukera ila mi sijui na nahitaji kujua. Nimekuwa nikitumia internet kama kawaida ila kila mara naona thread: mara proxy mara tg. Vina muhimu upi? Nawasilisha
Hizi zote ni Anti-censorship tools...
e.gHauwezi Angalia Netflix au ku sign up www.netflix.com iwapo upo TZ hii tunaita Geo-blocking ila ukiwa na VPN/Proxy basi utaweza Kupata vitu ambavyo vimewekwa kwa ajili ya US au UK tu ili mradi utumie server ya hiyo nchi
au mfano kwenye Office nyingi zenye Internet ya bure wame block Facebook lkn kwa VPN/Proxy unaweza kuondoa hizi restrictions
So to say ukiwa na VPN/Proxy unakua anonymous online hakuna anaeweza ku-track activity yako online
In laymans language hiyo
TunnelGuru(TG) ni moja kati ya VPN and Proxy servers providers umaharufu wake unakuja kwamba hii VPN yake ina features ambazo huweza wapelekea watu ku missuse matumizi ya VPN
e.g Hapa Bongo wengi naweza sema wanatumia kujipatia Internet za bure na.za bila kikomo pia na Ku-bypass speed caps e.g Vifurushi vya Voda au tigo wanavyo bana speed baada ya GB fulani
kwahiyo mkuu unashauri VPN nzuri ni Tunnel Guru?inakua na speed gani(coz nina download sana)?na inapatkana wapi na kwa bei gani?
Nimependa hapo pa ku unlock geo-restriction. Inamaana naweza ku streem kutoka iPlayer ya bbc one? Thanx mkuu angalau macho yanaanza kuona
VPN nzuri ni Tunnel Guru?kwahiyo mkuu unashauri VPN nzuri ni Tunnel Guru?inakua na speed gani(coz nina download sana)?na inapatkana wapi na kwa bei gani?
Ni kweli after Download JUSTtg unadownload free kutoka web yao unacho hitaji next ni vocha tu ndio utanunua
thanx mkuu wa mavoko,napenda inayo unlock geo-restriction ndo inakua nzuri zaidi.TG itafaa lakini sio VPN yenye speed kubwa na wala hata haijulikani ki vile....
Tg client ina bad user Interface sijapata kuona...
Waweza Google "Cheap best VPN" Utapewa VPN nzuri lkn kama hauendi kutumia kwa geo restrictions basi go for TG bado iko cheap na kwa speed za mitandao ya Kibongo itafaa...
Maresellers wa TG wapo wengi humu waweza ulizia malipo < or = 8,000/=
vocha ya TG bei gani?na nikitumia vocha ya TG sitakua nanua bundle ya kawaida ya mtandao ninao tumia?tg unadownload free kutoka web yao unacho hitaji next ni vocha tu ndio utanunua
vocha ya TG bei gani?na nikitumia vocha ya TG sitakua nanua bundle ya kawaida ya mtandao ninao tumia?