VPL: Simba SC Vs Azam FC

VPL: Simba SC Vs Azam FC

Breaking news

azam 1:1 simba


simba bado yuko kwenye nafasi ya tisa yaani 9
 
Mwenzako Steve Yanga now Steve Azam alifukuzwa jukwaa la Simba hivi wewe unakaa jukwaa lipi ukienda Uwanjani kwani jukwaa la Azam in disguise halipo.
 
matokeo sio mazuri kwetu lakini nia bado iko pale pale.cha msingi ni kujua Leo wanaume walikua uwanjani
 
hebu weka vizuri swali lako kwangu.
Jukwaa zilizopo ni za Yanga na Simba,timu mbili kubwa na zenye ushindani Tanzania. Mwenzako Steve Azam leo alikwenda jukwaa la Simba baada ya kushindwa kukaa jukwaa la Yanga. Sasa ukienda kuangalia mpira unakaa jukwaa lipi?Au hauna jukwaa maalum? Ni kama kinyonga tu unabadilisha rangi kutegemeana na ulipo?
 
Simba nawapa wimbo huu ikiwa ni zawadi kwenu.

Wimbo huu ni kwa hisani ya Ambassadors of Christ, Remera SDA Church Choir, Kigali, Rwanda.

NIKWA NINI?

Ni kwa nini umeyaruhusu, ee Mungu Mwenyezii, yatusononeshee moyoni, kwa nini unaruhusuu, ona haya machoozi, tazama tunavyoliia, twajiuliza sanaa, Bwana, ni kwa nini uliyaruhusuu?

Nikumbukapo jioni hii, jioni ya huzuni nyiingi, ulipokubali Bwana kwamba wenzetu wapumzike, najiuliza moyooni, kwa nini Bwana Mwenyeezi, umeruhusuu tuso-noneshwe kiasi hiki.

Mlipuko ni ghafla, tulipovamiwa naa mauti, Bwana ulimruhusu Ganta (Mtibwa) aiage dunia; ndugu Amosi (Azam), Manzi (Simba) kijana (Mnyama) mnyeenyekevu twawakumbukaa wote, hatutawasahau.

Twahuzunika Bwana, tena nawe wajuuaa, lakini kwa hayo yote chukuliwa kwa matendo meema, uliyoyakubali wale watumishi waako wayatende katika siku hizo chache za maisha yao;


Twayakumbuka, maatendo yenu, mema yasiyoelezeeka mlotenda duniani (
uwanjani), twawakumbuka tulivyoishi vizuri kwa muda mlikuwa nasi hatutawasahau.


Source: https://www.youtube.com/watch?v=kjydLupvVrk
 
Simba nawapa wimbo huu ikiwa ni zawadi kwenu.

Wimbo huu ni kwa hisani ya Ambassadors of Christ, Remera SDA Church Choir, Kigali, Rwanda.

NIKWA NINI?
Ni kwa nini umeyaruhusu, ee Mungu Mwenyezii,yatusononeshee moyoni, kwa nini unaruhusuu, ona haya machoozi, tazama tunavyoliia,twajiuliza sanaa, Bwana, ni kwa nini uliyaruhusuu?

Nikumbukapo jioni hii, jioni ya huzuni nyiingi,ulipokubali Bwana kwamba wenzetu wapumzike, najiuliza moyooni, kwa nini BwanaMwenyeezi, umeruhusuu tuso-noneshwe kiasi hiki.

Mlipuko ni ghafla, tulipovamiwa naa mauti, Bwanaulimruhusu Ganta (Mtibwa)aiage dunia; ndugu Amosi (Azam),Manzi (Simba) kijana (Mnyama)mnyeenyekevu twawakumbukaa wote, hatutawasahau.

Twahuzunika Bwana, tena nawe wajuuaa, lakini kwahayo yote chukuliwa kwa matendo meema, uliyoyakubali wale watumishi waakowayatende katika siku hizo chache za maisha yao;


Twayakumbuka, maatendo yenu, mema yasiyoelezeekamlotenda duniani (
uwanjani), twawakumbukatulivyoishi vizuri kwa muda mlikuwa nasi hatutawasahau.


Source: https://www.youtube.com/watch?v=kjydLupvVrk

Mkuu maneno ya kumsifu Mungu unaleta kwenye mpira? Hivi ni droo. Tungefungwa ungeanzisha kwaya.
 
Back
Top Bottom