Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,233
Hongera kwa uchambuzi, hebu weka na za Yanga....
Huyu bwana anashindwa kujua kuwa Timu ya kwanza na simba zinatofautiana kwa point za gemu tatu tu
Na azam iko mbele kwa gemu moja
Hii simba itawaua kina Makoye Matale mwaka huu