The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
Simba bado saana
Ndemla leo hakuwa kwenye form timu ilikosa nguvu katikati
kwa ujumla timu haiwezi cheza dakika 90
ikifika dakika 60 tu wote hooi...
beki ni kama yupo mmoja tu Isihaka
sub hakuna wapo wachovu tu kama kisiga
kipa bado anafanya mistakes za kitoto kabisa
Ndemla leo hakuwa kwenye form timu ilikosa nguvu katikati
kwa ujumla timu haiwezi cheza dakika 90
ikifika dakika 60 tu wote hooi...
beki ni kama yupo mmoja tu Isihaka
sub hakuna wapo wachovu tu kama kisiga
kipa bado anafanya mistakes za kitoto kabisa