Hata mimi sijawahi sikia crdb/nmb wakitangaza nafasi, kuna ofisi/kampuni nyingi hapa TZ sijwahi sikia wakitangaza nafasi za kazi hata mara moja, ila kuna wafanyakazi wanafanyakazi, sasa sijui huwa wanawapata vipi hao wafanyakazi....
Hiyo ndiyo a.k.a kimya kimya au a.k.a chinichini na kujuana...