Na hii ni kutokana na mtandao wao,leo siku ya pili tangu uanze manyokanyoka.Yawezekana isiwe nchi nzima ila kuna maeneo unapatkana lakn kuwasilina shda.Mitandao mingne inasumbua ila voda wamezid na wawaambie 7babu,wamefanya biashara zetu kukwama.
Nawasilisha.
Nawasilisha.