Kaka Mdogo
Member
- Aug 4, 2008
- 61
- 2
Jamani active SIM Card ya network yoyote ni tracking device! msiwaonee Vodacom tu! wanaojua telecom engineering wanaweza wakaeleza vizuri how you can track an active subscriber.
Huyu mleta hoja amekurupuka tu. Angetueleza kwa takwimu ni kiasi gani ambacho Chadema ilitegemea kupata kutoka kwa wachangiaji, kiasi ambacho Vodacom wamekataa kuruhusu kukusanya hela hizo?? atuambie makubaliano ambayo yapo kati ya Vodacom na Chadema kuhusu uchangiaji. Atuambie nani anamiliki hiyo Short Code ambayo mtoa mada haijui? atuambie makubaliano yakoje kati ya mmiliki wa shortcode na vodacom. Mtoa hoja atuambie mgawanyo wa mapato kati ya Vodacom na Chadema. sio akurupuke tu na kuanza kuichafua Vodacom. Lakini hata kama Vodacom wakigoma, kwani kazi /biashara ya Vodacom ni kuchangia vyama vya siasa!? Je Vodacom hawana haki ya kukataa kuchangisha? Atuambie Chadema wana baraka zote za kuchangisha hiyo michango kutoka kwa Msajili wa Vyama ambaye ndio mlezi wa vyama vyote vya siasa nchini! Anatuambie Rostam sijui ana asilimia 70 ya shares za vodacom, hatuambii hizo asilimia 30 anazo nani! toa shareholding structure yote ya Vodacom tuione tujue kama unachosema ni cha kweli!
Tuonyeshe takwimu za wateja ambao wametuma sms zao za kuchangia na hawakukatwa hela zao! tuonyeshe walikuwa na balance kiasi gani kwenye simu na walipotuma balance ikabaki ile ile! Usituletee namba moja ika represent mamilioni ya wateja wa Vodacom. Hapa tuko watu wazima tusiotaka majungu!
ulikuwa hukujui.....
hata Muhando tido alituambia hivohivo lakini uzalendo ulimshinda alipoona mabwana zake wanaadhirika pale jangwani akaagiza wasitishe matangazo......unaweza ukawa uko sahihi kwako binafsi lakn usijue wenzio wako mlengo gani kama akina Mwamvita....i know its very possible kuprint sms za wateja na hata kurecord simu za wateja au hata kuziredirect sehemu nyingine...mteja anapokea na intruder anapokea na kusikiliza at the same time and even kurecord...wateja, you are not safe on mobiles especially sasa ambapo namba zinajulikana ipi ni ya nani...lakini unaweza pia kutumia line ya mtu ambaye siyo popular and may be emails.Hii propaganda tu, we donot trace calls or sms za mtu awaye yoyote, we are group of proffesionals with ethics, good reputation and not politicians or croocks, kama umetupa sim card yako its your choice but stop spreading lies and your unproven accusation. We are Tanzania's Leading Cellular Network Period:becky:
Hii propaganda tu, we donot trace calls or sms za mtu awaye yoyote, we are group of proffesionals with ethics, good reputation and not politicians or croocks, kama umetupa sim card yako its your choice but stop spreading lies and your unproven accusation. We are Tanzania's Leading Cellular Network Period:becky:
no....waliwapa contract ya kurun kitengo cha marketing au M pesa ila wamiliki ni walewale....kama ni kweli wanafanya huo upuuzi basi wabadharau sana ..wanawadharau watz sana...hiyo kitu hakuna kampuni inaweza kufanya katika mazingira ya kawaida mpaka wameleta dharau kwamba hayana madhara haya matz...no wonder i purposely lost my voda SIMhivi hii kampuni haikuuzwa kwa Vodaphone?
anyway tumieni ZAP kutuma pesa chadema kwa urahisi, kama uongozi umeona hili si jungu, wahapie ZAP chap chap
Sidhani kama pesa kutopungua bado ni kigezo.
Je ukiambiwa kuwa pesa haipungui na Michango inaingia hiyo si itakuwa asara ya Vodacom?
Tusilaumu kwanza ni vizuri tukapeleleza tatizo ni nini maana technology haina gurantee.
Jamani active SIM Card ya network yoyote ni tracking device! msiwaonee Vodacom tu! wanaojua telecom engineering wanaweza wakaeleza vizuri how you can track an active subscriber.
Onyo: Hizi namba za kugawana mtandaoni waweza kujikuta unawachangia thithiemu!
Sidhani kama pesa kutopungua bado ni kigezo.
Je ukiambiwa kuwa pesa haipungui na Michango inaingia hiyo si itakuwa asara ya Vodacom?
Tusilaumu kwanza ni vizuri tukapeleleza tatizo ni nini maana technology haina gurantee.
Uko sahihi mkuu. Hata kwa kutumia serial number ya handset, achilia mbali SIMCARD wakiamua kukutrack wanakutrack.
Ila ukiwa na line ya Zain unakuwa na advantage ya ziada na unaweza kuwapiga dariz wale wanaotaka kukutrack
Hii propaganda tu, we donot trace calls or sms za mtu awaye yoyote, we are group of proffesionals with ethics, good reputation and not politicians or croocks, kama umetupa sim card yako its your choice but stop spreading lies and your unproven accusation. We are Tanzania's Leading Cellular Network Period:becky:
Kuichangia Chadema kupitia simu za mkononi kunakumbana na kikwazo cha hujuma. Hata Mbowe kwenye mkutano wa uzinduzi pale jangwani alilisema wazi hili. Mimi pia nimeonja adha hii mara kadhaa nilipojaribu kuchangia. Hiyo namba haifanyi kazi.
Lakini sasa kuna suluhisho la kutumia akaunti za benki. Wakihujumu na huko, itakayobakia ni kususa tu.
Katika kuelekea October 2010, CCM inatapatapa kumaliza nguvu za chadema kwa umafia wa aina yoyote. kwa sasa CCM wanawatumia VODACOM kuiujumu Chadema.
CHADEMA wanaomba michango kutoka wa wapiga kura wao na watu wenye mapenzi mema na Chadema lakini cha kushangaza VODACOM chini ya RA wanatumika kuujumu
1. Viongozi wengi wa chadema kama ZITTO na VIcent Nyerere na wengine wanaomba wanachama na wapenzi wawachangia kupitia M-PESA lakini VODACOM wanaBLOCK michango isiingie kwenye account zao za M PESA.
2. Number ya kuchangia chadema 15510( kama nimeikosea nitakosolewa) hii namba wameiblock ukituma msg ili uchangia TSHs 350 SALIO HALIPUNGUI. hii na ujuma kubwa
3. TUNAJUA VODACOM ni CCM, sasa hivi wametoa mabango yao yote barabarani wamewapa CCM waweke matangazo yao
MY TAKE
1. Hii ujuma inayofanywa na VODACOM mwisho wenu unakaribia
Sidhani kama pesa kutopungua bado ni kigezo.
Je ukiambiwa kuwa pesa haipungui na Michango inaingia hiyo si itakuwa asara ya Vodacom?
Tusilaumu kwanza ni vizuri tukapeleleza tatizo ni nini maana technology haina gurantee.
i always disliked vodacom. Now at least i have got a reason.