Guys coool down, inaonekana kulikuwa na tatizo la kiufundi pale vodacom. wamesharekebisha na sasa inakata hela vizuri. Pia namba ya kuchangia ni 15710 wengine wamequote tofauti.
Tuma neno CHADEMA kwenda namba hiyo utakatwa Tsh. 350/= tu.
Endeleeni kukiwezesha chama!!!!
Tuwasameheni bureeeeeeeeeeeeeeeee!
Tuma neno CHADEMA kwenda namba hiyo utakatwa Tsh. 350/= tu.
Endeleeni kukiwezesha chama!!!!
Tuwasameheni bureeeeeeeeeeeeeeeee!