VodaCom wanatumika kuinyonga CHADEMA

VodaCom wanatumika kuinyonga CHADEMA

Guys coool down, inaonekana kulikuwa na tatizo la kiufundi pale vodacom. wamesharekebisha na sasa inakata hela vizuri. Pia namba ya kuchangia ni 15710 wengine wamequote tofauti.
Tuma neno CHADEMA kwenda namba hiyo utakatwa Tsh. 350/= tu.
Endeleeni kukiwezesha chama!!!!
Tuwasameheni bureeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Mimi nashauri Chadema itangaze kuwa kuanzia leo wanachama wake wajiondoe Vodacom.Wanakaribishwa Zain,Tigo na Zantel.Huduma za kuchangia zipo pia.:smile-big:

ukiwa tigo unachangia vipi
ukiwa zain unachangia vipi

leten habari ziwe waiz watu watachangia jamani
 
MOD wajulishwe watu, sasa wanaweza kuchangia bila shida nimejaribu imefanya kazi; fanyeni hala hala muda ndio huu
 
Nimepokea massage ifuatayo kutoka vodacom:

"samahani kwa usumbufu, mchango wako kwenda chama chadema haukufanyika awali kwa sababu ya matatizo ya kiufundi.tunaomba utume mchango wako tena. Asante!"


wakati nilichangia almost one week one, kwa style hii tutafika.
 
Kila nikituma sms ya kuchangia CHADEMA kupitia VODACOM huwa napata ujumbe huu, "Samahani kwa usumbufu, mchango wajo kwenda chama cha CHADEMA haukufanyika awali kwa sababu ya matatizo ya kifundi. Tuna omba utume mchango wako tena. Ahsante!" ila nikajaribu kutuma kwenda kwenda kuchangia CCM mchango unapokelewa je hizi si hujuma za wazi?
 
Kila nikituma sms ya kuchangia CHADEMA kupitia VODACOM huwa napata ujumbe huu, "Samahani kwa usumbufu, mchango wajo kwenda chama cha CHADEMA haukufanyika awali kwa sababu ya matatizo ya kifundi. Tuna omba utume mchango wako tena. Ahsante!" ila nikajaribu kutuma kwenda kwenda kuchangia CCM mchango unapokelewa je hizi si hujuma za wazi?

Vodacom wanatumika waujumu chadema
Vodacom go to hell...... God will Judge you
 
nilitaka kulalamika lakini nilipoona hizi picha za maiti hawa sina haki ya kuwaamulia waZanzibari kwenye maamuzi yao

IMG_7054.JPG



IMG_6995.JPG


IMG_6926.JPG


IMG_6975.JPG

IMG_9142.jpg



DSC_0522.JPG
 
Katika kuelekea October 2010, CCM inatapatapa kumaliza nguvu za chadema kwa umafia wa aina yoyote. kwa sasa CCM wanawatumia VODACOM kuiujumu Chadema.

CHADEMA wanaomba michango kutoka wa wapiga kura wao na watu wenye mapenzi mema na Chadema lakini cha kushangaza VODACOM chini ya RA wanatumika kuujumu

1. Viongozi wengi wa chadema kama ZITTO na VIcent Nyerere na wengine wanaomba wanachama na wapenzi wawachangia kupitia M-PESA lakini VODACOM wanaBLOCK michango isiingie kwenye account zao za M PESA.
2. Number ya kuchangia chadema 15510( kama nimeikosea nitakosolewa) hii namba wameiblock ukituma msg ili uchangia TSHs 350 SALIO HALIPUNGUI. hii na ujuma kubwa

3. TUNAJUA VODACOM ni CCM, sasa hivi wametoa mabango yao yote barabarani wamewapa CCM waweke matangazo yao


MY TAKE

1. Hii ujuma inayofanywa na VODACOM mwisho wenu unakaribia

Mkuu naona umekuwa BANNED
Hapo kwenye RED inaweza kutokea tena
mana nasikia watu wanapoyuma michango kwa Mpesa zinagoma
sijui hii inaweza kuwa kweli?
 
Kumbe bado tunamtajirisha rostam?
Kwa ushenzi wanaofanya wa kutuhujumu wana chadema, bado siku kadhaa nitatupilia mbali laini ya voda
 
Back
Top Bottom