ubuntuX
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 1,970
- 2,184
Wakuu
Nimekua ni mdau wa mikopo midogo midogo inayotolewa na hii mitandao ya jamii kwa voda naipata kupitia nipige tafu
Airtel naipata kwa kutumia timiza
Vipi kwa Tigo sijajua na sijapata kusikia kama wana huduma ya namna hii kwa tigo pesa
Kwanini tigo tu ndio hawana huduma hii
Nimekua ni mdau wa mikopo midogo midogo inayotolewa na hii mitandao ya jamii kwa voda naipata kupitia nipige tafu
Airtel naipata kwa kutumia timiza
Vipi kwa Tigo sijajua na sijapata kusikia kama wana huduma ya namna hii kwa tigo pesa
Kwanini tigo tu ndio hawana huduma hii