Nenda kwenye Baraza la usuluhishi nadhani ni MCC watakupa maelekezo na nina uhakika watakulipa mpaka pesa ya usumbufu na watakulipa pesa ya kueleweka labda uwaonee huruma,maana huo ni wizi wa mtandao japo we unasema wamekukata,hapo hakuna cha kukatwa huo ni wizi wa kimtandao na sheria zake zipo zitakulinda.
Pili inapaswa uwaambie kupitia hiyo pesa uliyoibwa imefelisha mambo yako mengi ambayo yamekwama kwa ajili ya hiyo pesa,japo yaweza kuwa ndogo!!
Kuna mzee aliwahi lipwa na Airtel milioni 28 kwa upuuzi kama huo,mzee alienda kuwashitaki wakamlipa,imagine milioni 28 ya mwaka 2005,si mchezo
CHIFWINOLOGY²