Habari za jumapili wapendwa!
Nathubutu kutumia neno utapeli au wizi, nikiwa miongoni mwa mamia ya watumiaji wa mtandao wa vodacom kupitia huduma ya mpesa.
Ni takribani wiki tatu nimefuatilia hela zangu ambazo zilikatwa kimakosa kupitia huduma ya songesha kwenye namba yangu, Sijawahi kutumia hiyo huduma na wao baada ya kwenda ofisini kwao wakakiri imekatwa kimakosa.
Niliahidiwa kurudishiwa kwa masaa 48, lakini ni wiki tatu sasa nikienda ofisini kwao wanadai kitengo cha songesha bado kinashughulikia.
Je, ninaweza kuwashtaki ili hela zangu zirudi kwa riba kama wao walivyonikata kwa riba au ni taratibu zipi nizifanye kwa haraka ili nirudishiwe hela zangu.
Msaada wa kimawazo
Nathubutu kutumia neno utapeli au wizi, nikiwa miongoni mwa mamia ya watumiaji wa mtandao wa vodacom kupitia huduma ya mpesa.
Ni takribani wiki tatu nimefuatilia hela zangu ambazo zilikatwa kimakosa kupitia huduma ya songesha kwenye namba yangu, Sijawahi kutumia hiyo huduma na wao baada ya kwenda ofisini kwao wakakiri imekatwa kimakosa.
Niliahidiwa kurudishiwa kwa masaa 48, lakini ni wiki tatu sasa nikienda ofisini kwao wanadai kitengo cha songesha bado kinashughulikia.
Je, ninaweza kuwashtaki ili hela zangu zirudi kwa riba kama wao walivyonikata kwa riba au ni taratibu zipi nizifanye kwa haraka ili nirudishiwe hela zangu.
Msaada wa kimawazo