mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,234
- 959
Vodacom Tanzania WAMENIPORA elfu hamsini kama mchezo. Huu mtandao hakika ni majizi walioshindikana.
Nina zaidi ya mwezi sijapokea wala kuweka Mpesa. Nimeshangaa ghafla napata meseji eti TRANSACTION REVERSED. Nikadhani utani, kucheki account yangu wamekomba 50,000.
Vodacom ni kwamba hizo fedha mnazodai kuwapa watu mamilioni ndio mnaziiba kwetu? Hata kama mnawahonga TCRA hii nawafikisha mbali.
==========
Majibu kutoka Vodacom Tanzania
Nina zaidi ya mwezi sijapokea wala kuweka Mpesa. Nimeshangaa ghafla napata meseji eti TRANSACTION REVERSED. Nikadhani utani, kucheki account yangu wamekomba 50,000.
Vodacom ni kwamba hizo fedha mnazodai kuwapa watu mamilioni ndio mnaziiba kwetu? Hata kama mnawahonga TCRA hii nawafikisha mbali.
==========
Majibu kutoka Vodacom Tanzania
Habari, kama ulitumiwa pesa hiyo na mteja mwingine ana haki ya kurudishiwa pesa yake endapo ataripoti kuomba kurudishiwa. Tunaomba namba yako ya simu PM kwa msaada zaidi.
Last edited by a moderator: