dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Heshima kwenu wakuu,
Kumekuwa na Malalamiko kwamba, kampuni ya simu ya Vodacom imekuwa ikipunguza wafanyakazi kimya kimya kila idara.
Tatizo kubwa ni kwamba anaondolewa Mtanzania na kuingizwa Mgeni kutoka nje ya nchi na anafanya kazi zile watanzania ambazo wana uwezo wa kuzifanya na wamekuwa wakizifanya.
Hivyo wafanyakazi wa Vodacom wamekuwa wakifanya kazi kwa uoga kwani hawajui kesho ni zamu ya nani kupigwa ‘ridandasi’.
Naamini Serikali itaingilia kati suala hili ili tujue ukweli ni upi kwani Serikali imekuwa ikisisitiza asiajiliwe mgeni kwenye kazi ambayo Mtanzania anaweza fanya.
Haki itendeke kwenye hili suala.
Kumekuwa na Malalamiko kwamba, kampuni ya simu ya Vodacom imekuwa ikipunguza wafanyakazi kimya kimya kila idara.
Tatizo kubwa ni kwamba anaondolewa Mtanzania na kuingizwa Mgeni kutoka nje ya nchi na anafanya kazi zile watanzania ambazo wana uwezo wa kuzifanya na wamekuwa wakizifanya.
Hivyo wafanyakazi wa Vodacom wamekuwa wakifanya kazi kwa uoga kwani hawajui kesho ni zamu ya nani kupigwa ‘ridandasi’.
Naamini Serikali itaingilia kati suala hili ili tujue ukweli ni upi kwani Serikali imekuwa ikisisitiza asiajiliwe mgeni kwenye kazi ambayo Mtanzania anaweza fanya.
Haki itendeke kwenye hili suala.