Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,070
- 43,513
yap usiku mmoja, cha muhimu angalia speed ya eneo lako. hakuna mtandao Tanzania ambao una speed maeneo yote. na si Tz tu Dunia nzima ndio ilivyo.mkuu unamaliza kwa usiku mmoja au? Maana mimi nilikuwa naweka bando la chuo la mwezi yaani 4GB tu sikuwahi kuzimaliza kutokana na spidi kuwa mbaya. Ila nikaenda kutest voda kuswap line ili nipate zile GB4 za 4G nikazimaliza faster licha ya kuwa natumia simu ya 3G