Vodacom usiku pack

ze kokuyo

JF-Expert Member
Jan 24, 2014
7,418
9,599
Me ni mteja mpya wa huu mtandao, ninaomba msaada wa jinsi ya kujiunga na bando la intaneti la usiku tu.
 
*149*01#
1-Internet-Bure/Mwaka(5)
2-Internet-Bure/Mwaka(1)
3-Vifurushi vya Usiku(5)
Tsh 1500(4GB/Usiku 2)
#Kazi Kwako!...
Asante sana mkuu nlkua nmejiunga na 4G yao leo nataka niitest kwa kushusha movies
 
njooni halotel achaneni na hayo majizi yameiba mpaka yakasaza 10000 , 10GB, 80mn mitandao yote , 1200mn halo-halotel sms kibao kwa mwezi
kwenye students chip
 
Back
Top Bottom